Mpanda FM

SIASA

21 February 2026, 09:36

Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja

” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…

12 February 2026, 4:06 pm

Jamii yatakiwa kuwathamini wenye mahitaji maalum

Kutokana na baadhi ya jamii kutowajali, kuwathamini watu wenye mahitaji maalumu taasisi ya New Life Foundation kwa kushirikiana na Tim Tebow Foundation imekusudia kurejesha tabasamu kwa kuwakutanisha kupitia sherehe maalumu. Na Elizabeth Mafie Jamii imetakiwa kuendelea kuwapa kipaumbele watu wenye…

11 February 2026, 09:51

Serikali yawekeza bilioni 59 kukuza utalii Ruaha

Mradi wa REGROW unalenga kuimarisha sekta ya utalii, kulinda rasilimali asilia na kukuza uchumi wa Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mradi wa uboreshaji wa usimamizi wa maliasili na kukuza utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) wenye thamani ya Shilingi bilioni…

5 February 2026, 3:22 pm

Diwani Romu aongoza upandaji miti shule ya msingi Tolu

Viongozi katika ngazi mbalimbali wameendelea kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira kwa kushiriana na wananchi kwa kupanda miti sehemu mbalimbali. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa  kata ya Romu wilaya ya Hai  mkoa wa Kilimanjaro wamehimizwa kupanda miti katika maeneo…

5 February 2026, 1:21 pm

Diwani Trael, Machame Kaskazini waadhimisha miaka 49 ya CCM

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wananchi,wanachama pamoja na Diwani wa Kata ya Machame Kaskazini wameadhimisha siku hiyo kwa kupanda miti pamoja na kutembelea wagonjwa kituo cha afya Kisiki. Na Bahati Chume Hai -Kilimanjaro Wananchi wa Kata…

4 February 2026, 2:14 pm

Wiki ya sheria yatoa wito wa ushirikiano kwa mahakama

Wananchi wilaya ya Hai wamehimizwa kushirikiana na Mahakama kwa kufuata sheria na taratibu, jambo litakalosaidia kuhakikisha haki, usawa, amani na maendeleo ya jamii,Maadhimisho ya wiki ya sheria yameangazia umuhimu wa mahakama kama muhimili huru wa dola unaotoa haki kwa usawa,…

2 February 2026, 6:59 pm

Diwani alipia matibabu kuadhimisha miaka 49 ya CCM Hai

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi, kata ya Masama Kati imepanda miti katika kituo cha Afya Masama kati pamoja na kutembelea jengo la wamama wajawazito na kuwalipia gharama za matibabu. Na Oliver Joel, Hai-Kilimanjaro Katika kuadhimisha miaka 49…

Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa

27 January 2026, 2:15 am

Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa

Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…

7 January 2026, 7:44 pm

Serikali yajipanga kupunguza upotevu wa maji Bunda

”Kuna sababu nyingi za upotevu wa maji ikiwemo miundombinu kuwa chakavu, uchepushaji wa maji mita zinazotumika kwa sasa na matumizi yasiyozingatia mahitaji halisi” Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo Andrea Mathew Na Amos Marwa Serikali imejipanga kupunguza tatizo la upotevu…