Mpanda FM
Mpanda FM
October 10, 2025, 9:54 am
Kwenye picha ni Dkt. Hokororo mtalamu wa Afya ya Akili kutoka hospitali ya wilaya ya Nyasa Hayo yameelezwa na Mtaalamu wa Masuala ya kiafya ya akili na Saikolojia, Dkt. Hokololo akizungumza na Unyanja Fm katika kipindi maalumu ambapo amesema kuwa…
6 October 2025, 10:28 pm
Na Ivan Mapunda “Niligombania mwaka 2020 katika nafasi ya uwakilishi jimbo la mfenesini ila kura zangu hazikutosha kura Nilipata kura 1 katika kura 100” Katika uchaguzi wa uwakilishi uliofanyika katika jimbo la Mfenesini jina la Asha Juma Kombo lipo katika…
6 October 2025, 5:51 pm
Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party(UDP) Saumu Hussein Rashid amewahidi wafanyabiashara na wajasirimali wadogo wadogo katika soko la Tibirinzi Chake Chake kuweka mazingira bora ya biashara ili awape kufanya…
October 3, 2025, 10:28 am
Wazee Katika Halmashauri ya Mji Kaasulu walia na serikali kukabiliana na uonevu wanaoupitia katika maishayao ya kawaida. Na; Emily Adam Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma bora ya…
2 October 2025, 10:24 pm
Na Mary Julius. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid, amesema akipata ridhaa ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha kuwa kilimo cha karafuu kinakuwa chanzo kikuu…
September 30, 2025, 8:08 am
Na Denis Sinkonde,Ileje Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto Tanzania CGF John William Masunga amekabidhi cheti cha pongezi kwa redio ya jamii Ileje FM iliyopo wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe kwa utoaji elimu kwa umma kuhusu majanga ya moto…
27 September 2025, 10:10 pm
Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuwa mbunge, atahakikisha anakuza vipaji vya watoto na vijana kupitia ujenzi wa Sports Academy maalum…
24 September 2025, 10:36 pm
Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…
20 September 2025, 3:03 pm
Na Is-haka Mohammed. Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha NRA Khamis Faki Mgau amesema kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atapandisha mishahara ya waalimu ambapo walimu wa ngazi ya cheti ataanza kupokea kima cha mshahara wa shilingi milioni moja…
16 September 2025, 3:31 pm
“Mgombea udiwani Kata ya Nsemulwa na kata ya Shanwe wamemuombea kura mgombea udiwani wa kata hiyo ya kazima“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha ACT wazalendo kimeendelea na kampeni zake katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi na kunadi sera zao kwa wananchi.…