Mpanda FM

SIASA

October 10, 2025, 9:54 am

Siku ya afya ya akili duniani Dkt. Hokololo atoa somo

Kwenye picha ni Dkt. Hokororo mtalamu wa Afya ya Akili kutoka hospitali ya wilaya ya Nyasa Hayo yameelezwa na Mtaalamu wa Masuala ya kiafya ya akili na Saikolojia, Dkt. Hokololo akizungumza na Unyanja Fm katika kipindi maalumu ambapo amesema kuwa…

6 October 2025, 10:28 pm

Safari ya Asha Juma kombo,kwenye ulingo wa Siasa

Na Ivan Mapunda “Niligombania mwaka 2020 katika nafasi ya uwakilishi jimbo la mfenesini ila kura zangu hazikutosha kura Nilipata kura 1  katika kura 100” Katika uchaguzi wa uwakilishi uliofanyika  katika jimbo la Mfenesini jina la Asha Juma Kombo lipo katika…

October 3, 2025, 10:28 am

Wazee Kasulu wataja changamoto zinazowakabili

Wazee Katika Halmashauri ya Mji Kaasulu walia na serikali kukabiliana na uonevu wanaoupitia katika maishayao ya kawaida. Na; Emily Adam Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma bora ya…

2 October 2025, 10:24 pm

UDP yaja na mapinduzi ya karafuu Zanzibar

Na Mary Julius. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP), Saumu Rashid, amesema akipata ridhaa ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha kuwa kilimo cha karafuu kinakuwa chanzo kikuu…

27 September 2025, 10:10 pm

Maendeleo kwa vitendo, Asha Juma aahidi mabadiliko mfenesini

Na Ivan Mapunda. Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mfenesini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asha Juma Kombo, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuwa mbunge, atahakikisha anakuza vipaji vya watoto na vijana kupitia ujenzi wa Sports Academy maalum…

24 September 2025, 10:36 pm

UPDP yaja na sera za afya bure na uvuvi bahari kuu

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano  wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…

16 September 2025, 3:31 pm

ACT yamnadi mgombea udiwani kata ya Kazima

“Mgombea udiwani Kata ya Nsemulwa na kata ya Shanwe wamemuombea kura mgombea udiwani wa kata hiyo ya kazima“ Na Anna Milanzi-Katavi Chama cha ACT wazalendo kimeendelea na kampeni zake katika maeneo mbalimbali mkoani Katavi na kunadi sera zao kwa wananchi.…