Mpanda FM
Mpanda FM
28 November 2025, 5:15 pm
Siku ya Lishe Kitaifa huadhimishwa kila mwaka nchini Tanzania ili kukumbusha dhana ya haki ya kupata chakula bora, kupambana na udumavu, na kuhimiza uwekezaji katika afya dhamira inayokwenda sambamba na mpango wa taifa wa kuboresha lishe ulioanzishwa miaka kadhaa iliyopita.…
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
13 November 2025, 8:51 pm
“Mawaziri na manaibu waziri nilioteua hakikisheni mnatekeleza majukumu yanu kwa uwajibikaji, uadilifu na kasi ya maendeleo, ili kutimiza matarajio ya wananchi wa Zanzibar” Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza…
6 November 2025, 1:57 pm
Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Mselem, ametangaza matokeo hayo mara baada ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura lililofanyika katika kikao cha kwanza cha Baraza jipya lililofanyika Chukwani, Zanzibar. Na Mary Julius. Zuberi Ali Maulid amechaguliwa kwa mara…
5 November 2025, 11:02 pm
Katibu wa Baraza, Raya Issa Mselem, amesema kuwa uchaguzi wa Spika ni shughuli ya kwanza inayofanywa na wajumbe kabla ya kula kiapo cha uaminifu, kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 70 cha Katiba. Na Mary Julius. Baraza la 11 la Wawakilishi…
20 October 2025, 5:01 pm
Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba. Picha na mtandao ” Wengine wanasema serikali imeishiwa hela “ Na Restuta Nyondo Serikali imesema kuwa Tanzania ina akiba ya fedha kiasi cha zaidi ya trilion 16 kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na hakuna nchi yeyote…
19 October 2025, 9:35 pm
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
18 October 2025, 11:38 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabiti Idarous Faina, amesema jumla ya shilingi milioni 903,327,300 zimetumika katika uchapaji wa karatasi za kura za Urais wa Zanzibar, Uwakilishi na Udiwani ambazo zitatumika katika Uchaguzi Mkuu ujao. Akizungumza…
18 October 2025, 5:49 pm
“kama watampa ridhaa ya kuendelea kuiongoza nchi atahakikisha mkoa wa Katavi unapata kipaumbele katika ujenzi wa barabara na madaraja ili kuunganisha mkoa huo na maeneo jirani ya ndani na nje ya nchi.” Na Restuta Nyondo Mgombea urais wa Jamhuri ya…
October 15, 2025, 9:44 am
Na Anord Kimbulu, Songwe Katika kuhakikisha kuwa zao la kahawa aina ya Arabika kutoka Nyanda za juu Kusini linaendelea kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa, wakulima wa kahawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameanza kunufaika na mafunzo ya kitaalamu pamoja na…