Mpanda FM

SIASA

05/03/2026, 18:30

Motisha wasichana kupenda masomo ya sayansi yaongezeka

GGML Mentorship program ilianzishwa mwaka 2020 ikiwa na lengo la kumsaidia msichana kutimiza ndoto zake kitaaluma sambamba na kumjengea uwezo wa kujiamini. Na: Ester Mabula Jumla ya shule sita za sekondari ambazo ni Nyalwanzaja, Kamena, Kasota, Bugando, Bugurula na Butundwe…

4 March 2026, 1:39 pm

Hai wakaribishwa kushiriki Siku ya Wanawake

Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayotarajiwa kufanyika machi 9 2026 katika viwanja vya shule ya sekondari Mailisita. Na Salma Mgosso Hai-Kilimanjaro Mratibu wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani wilaya…

3 March 2026, 3:39 pm

Wanawake kutumia siku ya wanawake duniani kukuza uchumi

Pichani ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya siku ya wanawake duniani wilaya ya Hai Andogwitse Ndelwa(picha na Salma Mgosso) Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 kote duniani,wilaya ya Hai imejipanga…

25/02/2026, 12:15

Watumishi ajira mpya Manispaa ya Geita wapigwa msasa

“Naamini baada ya mafunzo haya mtaendelea kuwa na utendaji wenye tija na kuzingatia miiko ya utumishi wa UMMA kwa kujiepusha na vitendo vyenye kujenga taswira mbaya ya Serikali kwenye Jamii” -Mkurugenzi Yefred Myenzi Na: Ester Mabula Jumla ya watumishi 209…

21 February 2026, 9:36 am

Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja

” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…

12 February 2026, 4:06 pm

Jamii yatakiwa kuwathamini wenye mahitaji maalum

Kutokana na baadhi ya jamii kutowajali, kuwathamini watu wenye mahitaji maalumu taasisi ya New Life Foundation kwa kushirikiana na Tim Tebow Foundation imekusudia kurejesha tabasamu kwa kuwakutanisha kupitia sherehe maalumu. Na Elizabeth Mafie Jamii imetakiwa kuendelea kuwapa kipaumbele watu wenye…

11 February 2026, 9:51 am

Serikali yawekeza bilioni 59 kukuza utalii Ruaha

Mradi wa REGROW unalenga kuimarisha sekta ya utalii, kulinda rasilimali asilia na kukuza uchumi wa Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mradi wa uboreshaji wa usimamizi wa maliasili na kukuza utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) wenye thamani ya Shilingi bilioni…

5 February 2026, 3:22 pm

Diwani Romu aongoza upandaji miti shule ya msingi Tolu

Viongozi katika ngazi mbalimbali wameendelea kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira kwa kushiriana na wananchi kwa kupanda miti sehemu mbalimbali. Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa  kata ya Romu wilaya ya Hai  mkoa wa Kilimanjaro wamehimizwa kupanda miti katika maeneo…

5 February 2026, 1:21 pm

Diwani Trael, Machame Kaskazini waadhimisha miaka 49 ya CCM

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wananchi,wanachama pamoja na Diwani wa Kata ya Machame Kaskazini wameadhimisha siku hiyo kwa kupanda miti pamoja na kutembelea wagonjwa kituo cha afya Kisiki. Na Bahati Chume Hai -Kilimanjaro Wananchi wa Kata…