Mpanda FM
Mpanda FM
04/08/2025, 14:43
Na Mary Julius. CHAMA cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema kuna fursa nyigi za kunufaika na ajira kwa Vina kupitia miradi ya Maeneleo ikiwemo soko la sekta ya utalii, miudo mbini Kilimo na mawasiliano lakini bado hazijatumika ipasavyo Tanzania bara na…
30/07/2025, 17:17
“tusiwafiche nyumbani watoto wenye ulemavu,wakifundishwa wanaweza kufanya kwa utimamu” Na James Mwakyembe Kikundi cha watu wa Rungwe waishio Kyela Tusegelile Group wametembelea na kutoa misaada ya kiutu kwa watoto wenye uhitaji maalumu katika shule ya msingi kyela, ili kuwafariji na…
30/07/2025, 12:20
Ili kuhimiza matumizi ya rasilimali ya bidhaa za ngozi, Katibu wa Chama Cha Wazalishaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, Timoth Funto, ametangaza kuanzishwa kwa mradi wa kutengeneza viatu vya ngozi milioni 10 vitakavyosambazwa katika skuli mbalimbali nchini. Na Mary Julius.…
30/07/2025, 11:18
Mradi huu wa Boresha Maisha yaVijana tayari umefika katika mikoa Takribani mine na tayari umegusa maisha ya vijana 40, 000 hapa nchini. Na Mriam Kasawa. Uongezaji wa thamani katika mazao ni moja ya njia zinazo tajwa kuwanufaisha vijana jijini Dodoma…
July 28, 2025, 7:30 pm
”Wananchi mnapaswa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kutangaza biashara zenu na siyo kupoteza muda kwa kuangalia habari za udaku muda wote’’ Bernadetha Clement Mathayo Afisa Mawasiliano TCRA kanda ya ziwa. Na Revocutus Andrew Wananchi Kanda ya Ziwa wameaswa…
20 July 2025, 10:35 am
“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…
19/07/2025, 17:19
Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya amesema bila ya uwepo wa TRA, serikali zote mbili — ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ya Mapinduzi ya Zanzibar — zisingeweza kutekeleza mipango ya…
17 July 2025, 12:11 pm
“Ikiwa sheria zilizopo kwenye tasnia ya habari zitafanyiwa marekebisho kutapelekea kupatikana kwa mageuzi makubwa kwenye fani hiyo na kurahisisha utendaji kwa wandishi wa habari“ Na Tamwa Zanzibar. Kupatikana kwa sheria mpya na rafiki ya habari visiwani Zanzibar kutasaidia kuweka mazingira…
12 July 2025, 12:12 pm
Moto huo ulizuka majira ya saa 8 usiku ambapo mali mbalimbali za wafanyabiashara zikiteketea na kusababisha hasara. Na Ayoub Sanga Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu, lililoko katikati ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, wamejikuta katika majonzi makubwa baada ya…
10 July 2025, 13:09
Madaktari bingwa kutoka nchi Tanzania wanatarajia kuweka kambi ya matibabu katika maeneo mbalimbali nchini Burundi kwa lengo la kutoa matibabu kwa wananchi Burundi. Na Bukuru Daniel Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi kwa kushirikiana na wizara ya afya na VVU/UKIMWI nchini…