Mpanda FM
Mpanda FM
19 August 2025, 16:53
Ujenzi wa chuo kikuu cha afya na Sayansi shirikishi MUHAS kampasi ya Kigoma unatajwa kuongeza tafiti na matibabu kwa kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma na maeneo mengine. Na Mwandishi wetu Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kukamilila kwa ujenzi…
August 19, 2025, 3:20 pm
Baadhi ya wananchi mkoani Kagera wameaswa kuachana na vitendo ya uchomaji hovyo mbuga na mistu ili kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Na Anold Deogratias Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kagera limetoa onyo kali…
17 August 2025, 1:48 pm
Mradi CADiR unaratibiwa na Norwegian Association of Disabled (NAD) kama taasisi kiongozi, ukihusisha mashirika ya Norway.Mradi huo unatarajiwa kuzinduziliwa rasmi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman, tarehe 20 Agosti 2025 katika…
17 August 2025, 11:18 am
Viongozi na wanufaika wa msaada huo kuhakikisha vifaa hivyo vinatuzwa ili viweze kudumu kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Jumla ya jozi tano za jezi, viatu vya michezo jozi 12 na mipira 18 vimetolewa kwa vijana wa kata ya Namuhula…
15 August 2025, 8:09 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohamed amesema hatua ya kutiwa saini makubaliano ya ushirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia ZICTIA, Zanzibar Communication Corporation na kampuni ya Airtel ni hatua muhimu…
15 August 2025, 4:44 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka madereva wa daladala kuzingatia matumizi sahihi ya vituo vipya vya kushushia na kupakia abiria, kwa kuhakikisha hawazidi dakika tatu katika kila kituo, ili kuepuka msongamano wa magari…
6 August 2025, 13:18
Akina mama wametakiwa kuhakikisha wanawanyonyesha watoto maziwa ya mama ili waweze kupata virutubisho Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa viwango vya unyonyeshaji wa maziwa ya mama nchini Tanzania vinaendelea kuimarika, huku asilimia ya watoto wanaonyonyeshwa maziwa ya mama pekee ikiongezeka kutoka…
5 August 2025, 9:26 am
Wafugaji wametakiwa kujielimisha zaidi ili kupunguza hasara na kuhakikisha ubora wa kuku wanaowafuga. Na Hafidh Ally Wananchi Mkoani Iringa, wanaojihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa kisasa, wameeleza kilio chao kuhusu kupanda kwa gharama za chakula cha kuku…
4 August 2025, 2:43 pm
Na Mary Julius. CHAMA cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema kuna fursa nyigi za kunufaika na ajira kwa Vina kupitia miradi ya Maeneleo ikiwemo soko la sekta ya utalii, miudo mbini Kilimo na mawasiliano lakini bado hazijatumika ipasavyo Tanzania bara na…
30 July 2025, 17:17
“tusiwafiche nyumbani watoto wenye ulemavu,wakifundishwa wanaweza kufanya kwa utimamu” Na James Mwakyembe Kikundi cha watu wa Rungwe waishio Kyela Tusegelile Group wametembelea na kutoa misaada ya kiutu kwa watoto wenye uhitaji maalumu katika shule ya msingi kyela, ili kuwafariji na…