Mpanda FM
Mpanda FM
January 3, 2026, 2:35 pm
Pichani ni Mtangazaji wa Unyanja FM akizungumza na Msimamizi wa Elimu jamii,Kamanda Jastine Ally Athumani katika studio ya Unyanja FM. Wananchi Wilayani Nyasa wameaswa kuepuka makosa na uvunjaji wa sheria mbalimbali katika msimu huu wa sikukuu. ( NA: Said Mlelwa…
17 December 2025, 07:59
Mamlaka ya usimamizi wa chakula na vifaa tiba Tanzania TMDA Kanda ya Magharibi imesema itaendelea kufanya operesheni mbalimbali kwa ajili ya kudhibiti bidhaa za afya zinazoingizwa nchi kinyuma cha sheria na ambazo hazikidhi vigezo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa…
03/12/2025, 21:51
Na Mary Julius. Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Sharif Ali Sharif, ametoa wito kwa wafanyakazi wa Idara ya Ajira, Idara ya Maendeleo ya Ushirika, na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ZEEA kuongeza bidii na kusimamia majukumu yao kwa ufanisi…
03/12/2025, 17:28
Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…
01/12/2025, 19:49
Na Mary Julius. Zaidi ya wageni 150 hadi 400 wanawasili katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kwa siku kupitia Kiwanja cha Ndege cha Kikoboga kutokana na uboreshaji wa kiwanja hicho, uliofanywa na TANAPA. Afisa Uhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi ya taifa…
29/11/2025, 22:09
Na Mary Julius. Uwepo wa treni ya mwendokasi pamoja na maboresho ya viwanja vya ndege katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la watalii wanaotembelea hifadhi hiyo. Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki, Fredrick…
26 November 2025, 7:15 am
“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…
17/11/2025, 16:57
Mkurugenzi wa Shirikisho la Jumuiya za Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) Ali Machano ameiomba jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali zilizoandaliwa na jumuiya hiyo kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani. Ameeleza kuwa mafunzo maalum yameandaliwa, ambayo yataisaidia…
17 November 2025, 13:20
Na Timotheo Leonard Wananachi Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia lishe bora ya makundi sita ya vyakula ili kuimarisha afya zao kwa kuongeza virutubishi mwilini vinavyoimarisha mwili na akili. Kauli hiyo imetolewa na Afisa lishe Mkoa wa Kigoma James Mbalabo wakati akizungumza na…
17 November 2025, 12:31 pm
“Matukio haya yote yanalenga kumsukuma mwanamke kuleta mafanikio” Na Anna Millanzi Uongozi wa Katavi Worth Women umezindua msimu mpya wa kutoa hamasa kwa wanawake na kuwakutanisha pamoja ili kuendelea kupeana maarifa ya kujikwamua kiuchumi. Akizungumza na Waandishi wa habari na…