Mpanda FM
Mpanda FM
13 August 2025, 4:29 pm
Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wizara ya Afya Zanzibar kitengo cha chanjo ili kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo, kwa lengo la kupunguza upotoshaji na dhana potofu zinazohusu chanjo.Afisa kutoka Kitengo cha Chanjo Zanzibar,…
5 August 2025, 12:00 pm
Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) Kanda ya ziwa imewataka watanzania kuwa makini na taarifa za kimtandao hasa taarifa za uongo. Na.Peter Marlesa Ungana na Peter Marlesa akiwa na Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa, akifafanua kwa Watanzania…
2 August 2025, 7:25 am
Sekta ya kilimo imetajwa kuwa sekta muhimu jambo linalopelekea vijana kutakiwa kuwekeza huko. Na Godfrey Mengele Vijana Mkoani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamehimizwa kuwekeza nguvu katika kilimo ili kujikwamua kiumchumi na kufikia malengo yao. Wito huo umetolewa na Mkuu…
31 July 2025, 8:40 pm
Maendeleo ya teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika sekta ya madini huku serikali ikikumbushwa kuwekeza katika ujuzi kwa vijana. Na Edga Rwenduru: Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Geita wameiomba Serikali kutumia Chuo cha VETA Geita kuanzisha mitaala maalum ya…
30 July 2025, 9:04 am
Msaada wa Cherehani kwa Vijana hao ni katika juhudi za kuunga Mkono Vijana na wanawake kukuza uchumi wao. Na Adelphina Kutika Jumla ya cherehani 24 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 zimekabidhiwa kwa vikundi vitatu vya vijana katika…
July 25, 2025, 3:08 pm
”Jumapili tarehe 27/7/2025 kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 8 mchana wateja na wananchi wote katika mikoa ya Mwanza na Mara watashuhudia tukio la kukosekana kwa umeme hadi katika ofisi za Tanesco kwa sababu kituo kikuu kinachopokea umeme kanda ya…
23 July 2025, 2:48 pm
Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kimefungua rasmi nafasi za masomo kwa msimu wa 2025/2026 huku kikiwapa kipaombele wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kufaulu kwa walau alama D 4. Na Miraji Manzi Kae Msimu wa masomo wa Chuo Kikuu…
13 July 2025, 7:05 pm
Tuzo ya World Summit on the Information Society (WSIS) hutolewa na International Telecommunication Union (ITU) kwa kutambua matumizi bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika maendeleo ya jamii. Mradi wa Kadi ya Matibabu ya Zanzibar uliibuka miongoni mwa…
4 July 2025, 10:52 pm
Wananchi na wawekezaji wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo wilayani Kilosa, ikiwemo kilimo, utalii na viwanda, ili kuchochea uchumi na maendeleo ya Taifa. Na Beatrice Majaliwa Wananchi ndani na nje ya Wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zilizopo…
3 July 2025, 9:25 am
Ushirikiano huo unalenga kujengeana uwezo katika uandishi wa miradi, hatua inayolenga kusaidia taasisi hizo mbili kupata fedha za kuendesha shughuli zao kwa ufanisi zaidi. Na Ayoub Sanga Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kimesaini mkataba wa ushirikiano na Mamlaka…