Mpanda FM

AFYA

5 November 2024, 11:15 am

DC Linda azindua Taasisi ya TK Movement

Na Fredrick Siwale Vijana Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi na Maendeleo katika Sekta ya Kilimo kufuatia serikali kutoa zaidi ya Milioni 500 katika sekta hiyo. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa…

31 October 2024, 10:54 am

Vijana Iringa kujiinua kiuchumi kupitia mikopo ya Halmashauri

Na Shaffih Kiduka, Halima Abdalla, Zahara Said na Shahanazi Subeti Siku chache baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutangaza utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, baadhi ya wananchi Manispaa ya iringa wamesema…

22 October 2024, 5:21 pm

Saratani ya shingo ya kizazi tishio Zanzibar

Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mgeni Hassan Juma amesifu jitihada za Serikali ya watu China katika kuisaidia Zanzibar kwa nyanja tofauti ikiwemo sekta ya Afya hasa katika masuala mazima ya kupambana na maradhi ya saratani. Kauli hiyo ameitoa…

21 October 2024, 12:58 pm

TFRA yawanoa wakulima, Amcos na wafanyabiashara Iringa

Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea (TFRA) Nyanda za Juu Kusini imejizatiti kuwajengea uwezo wakulima na mawakala wa mbolea ya ruzuku mkoani Iringa ili kuboresha utendaji wao. Wakizungumza mara baada ya mafunzo yaliyofanyika kwa muda wa siku mbili…

14 October 2024, 11:54 am

GGML kuendelea kufadhili miradi kupitia CSR

Mkoa wa Geita umeendelea kujivua uwepo wa mgodi wa GGML kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi katika nyanja mbalimbali hususani katika sekta za elimu na afya. Na: Ester Mabula – Geita Mgodi wa GGML umeahidi kuendelea kushirikiana na…