

8 November 2024, 11:35 am
Na Hafidh Ally Serikali inatarajia kufanya Utafiti wa Kilimo, uvuvi na ufugaji Ili kuendana na Milengo ya Milenia ya Maendeleo endelevu ya kupambana na Njaa kabla ya mwaka 2030. Hayo yamezungumzwa na Kamisaa wa sensa ya watu na makazi Bi.…
6 November 2024, 7:13 pm
Takataka zilizopo katika moja ya nyumba kata ya majengo.picha na Samwel Mbugi “Kampuni ambayo inajihusisha na uzoaji wa taka hizo, kutokana na uchache wa vifaa jambo hilo limesebabisha mrundikano wa takataka katika makazi yao“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa…
5 November 2024, 11:15 am
Na Fredrick Siwale Vijana Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi na Maendeleo katika Sekta ya Kilimo kufuatia serikali kutoa zaidi ya Milioni 500 katika sekta hiyo. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa…
31 October 2024, 10:54 am
Na Shaffih Kiduka, Halima Abdalla, Zahara Said na Shahanazi Subeti Siku chache baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutangaza utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, baadhi ya wananchi Manispaa ya iringa wamesema…
22 October 2024, 5:21 pm
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mgeni Hassan Juma amesifu jitihada za Serikali ya watu China katika kuisaidia Zanzibar kwa nyanja tofauti ikiwemo sekta ya Afya hasa katika masuala mazima ya kupambana na maradhi ya saratani. Kauli hiyo ameitoa…
22 October 2024, 3:02 pm
Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt Salim Slim amesema Wizara ya Afya Zanzibar itahakikisha inawapatia chanjo ya polio watoto wote ambao walikosa chanjo hiyo kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita ambayo ilitokana na kutokuwepo kwa…
21 October 2024, 12:58 pm
Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea (TFRA) Nyanda za Juu Kusini imejizatiti kuwajengea uwezo wakulima na mawakala wa mbolea ya ruzuku mkoani Iringa ili kuboresha utendaji wao. Wakizungumza mara baada ya mafunzo yaliyofanyika kwa muda wa siku mbili…
15 October 2024, 6:23 pm
“Taka hizo zimekuwa kero kutokana na kukaa bila kuzolewa licha ya kutoa fedha za kutoa takataka hizo katika makazi yao.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mpadeco kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda wamezitaka mamlaka kutatua changamoto …
14 October 2024, 11:54 am
Mkoa wa Geita umeendelea kujivua uwepo wa mgodi wa GGML kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi katika nyanja mbalimbali hususani katika sekta za elimu na afya. Na: Ester Mabula – Geita Mgodi wa GGML umeahidi kuendelea kushirikiana na…
14 October 2024, 10:49 am
Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…