Uncategorized
30 April 2023, 10:17 am
Uwepo wa Sheria ya Ukeketaji itamaliza Ukatili huo Nchini.
Uwepo wa Sheria Mahususi inayopinga vitendo vya Ukeketaji Nchini Tanzania itasaidia kutokomoza Ukatili huu kwenye Jamii zilizoathirika na huo utamaduni3 Hayo yamesemwa na wadau wa kupinga Ukeketaji Nchini Tanzania katika mafunzo kwa waandishi wa habari ambapo lengo kuu la Mafunzo…
26 April 2023, 9:21 am
BUNDA QUEENS YAREJEA KWA KISHINDO NA KUPOKELEWA NA MKUU WA WILAYA DKT. VICENT AN…
Mabingwa wa ligi Daraja la kwanza wanawake Bunda Queens yarejea nyumbani kwa kishindo na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya pamoja na mamia ya wakazi wa Bunda katika uwanja wa sabasaba. Bunda Queens kwa heshima ya waliyoileta Bunda wamemkabidhi Mheshimiwa Mkuu…
25 April 2023, 4:24 pm
Bunda kinara wizi wa fedha za miradi ya maendeleo mkoani Mara
Imeelezwa kua katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali mkoani Mara Wilaya ya Bunda inaongoza kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa miradi hiyo jambo ambalo linarudisha nyuma juhudi za serikali. Hayo yamebainishwa na mkuu wa Mkoa wa Mara Meja…
22 October 2022, 8:09 pm
Salumu Mterela DAS Bunda; afunga maadhimisho ya elimu ya watu wazima Bunda
it katibu tawala wa wilaya ya Bunda mh. Salum Mtelela amesema ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bunda itaongeza bajeti ya elimu ya watu wazima ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wengi wanajiumga na elimu hiyo. Akizungumza kwa niaba ya…
23 August 2022, 7:32 am
Mbunge Maboto: Awahimiza Bunda Mjini kushiriki Sensa kikamilifu
Mbunge Jimbo la bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wakazi wa Jimbo la Bunda Mjini kushiriki Sensa ya watu na makazi kikamilifu Akizungumza na redio Mazingira Fm Mhe Maboto amesema lengo kuu la sensa ya watu na makazi ni…
28 April 2022, 1:10 pm
Bunda: Grumeti Fund washiriki zoezi la amwani za makazi kwa kutoa vibao 31 vyeny…
Kampuni ya Grumeti Fund wameshiriki zoezi la anwani za makazi kwa kuchangia kuto vibao vya anwani za makazi 31 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi million mbili Akizungumza katika makabidhiano hayo mwakirishi wa kampuni ya Grumeti Fund, Davidi Mwakipesile amesema…
21 April 2022, 5:37 pm
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
15 March 2022, 5:27 pm
kutozingatia vipimo sahihi ndo changamoto ya upungufu wa Dawa kwa wakulima wa Pa…
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…
14 March 2022, 6:23 pm
Mwanri: kulima kwa mstari kutaongeza uzalishaji kwa wakulima wa Pamba
Balozi wa Pamba Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema mwitikio wa wakulima wa zao la Pamba Wilayani Bunda wa kulima kwa mstari umekuwa mkubwa tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo wakulima walikuwa wanalima kwa kulusha mbegu Hayo ameyasema Leo 14 march 2022…
13 March 2022, 10:32 pm
Bunda: waliochukua viuatilifu bila kuwa wakulima wapewa siku Saba kuvirudisha
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri ametoa wiki Moja kwa watu wote waliochukua viuatilifu vya zao la Pamba bila kuwa na mashamba kuweza kujisalimisha kwa viongozi wa zao la Pamba ngazi ya kata na WilayaAmetoa agizo hilo Leo…