Mazingira FM

Uncategorized

30 April 2023, 10:17 am

Uwepo wa Sheria ya Ukeketaji itamaliza Ukatili huo Nchini.

Uwepo wa Sheria Mahususi inayopinga vitendo vya Ukeketaji Nchini Tanzania itasaidia kutokomoza Ukatili huu kwenye Jamii zilizoathirika na huo utamaduni3 Hayo yamesemwa na wadau wa kupinga Ukeketaji Nchini Tanzania katika mafunzo kwa waandishi wa habari ambapo lengo kuu la Mafunzo…