Mazingira FM
Uncategorized
31 March 2021, 5:30 pm
Kiapo cha Dkt Mpango chaja na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri
MAKAMU wa Rais mteule, Dkt Philip Mpango, ameapishwa leo Machi 31, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Akihutubia baada ya makamu wake kuapishwa, Rais Samia, ametangaza Baraza Lake Jipya la mawaziri ambalo amefanya mabadiliko kidogo, Katika baadhi ya wizara…
25 March 2021, 3:17 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wajengewa uwezo na TADIO
Katika kuhakikisha redio za kijamii zinasikika kupitia kwenye mtandao TADIO imeanzisha program maalumu itakayozisaidia redio zote za kijamii zilizopo kwenye TADIO Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Jijini Mwanza ambapo mafunzo yanalenga kuwawezesha waandishi kutoka vituo vya redio za kijamii…