Karagwe FM

Karagwe – FM

5 May 2024, 5:42 pm

CBIDO yatoa milioni 20 kwa wenye ulemavu Karagwe

Wako baadhi ya watoto wanaozaliwa wakiwa na ulemavu na wengine hupata ulemavu wanapokuwa wakubwa hivyo jamii haina budi kushirikiana kuwasaidia ili waweze kujikimu katika maisha. Na Eliud Henry: Kiasi cha Fedha sh. Mil 20 zimetolewa na shirika la kuwahudumia watu…

5 May 2024, 4:48 pm

Wananchi watumia maji ya madimbwi kwa miaka 60 Bweyaja

Kitongoji Bweyaja kina tatizo la ukosefu wa maji.Wakaazi wengi wa maeneo hayo hulazimika kununua maji kwa bei ghali na hali hii inaendelea mpaka leo. Na Devid Geofrey: Wananchi wa kitongoji cha Bweyaja kijiji cha Omurulama kata ya Chanika wilaya ya…

1 May 2024, 8:40 pm

Bei ya nguruwe yasababisha kifo

Nchi sita kati ya kumi zenye idadi kubwa kabisa ya watu kujiua duniani ziko Afrika, na kiwango cha kujiua katika bara hilo ni zaidi ya moja ya tano ikilinganishwa na maeneo mengine, WHO imesema wiki hii. Na Devid Geofrey: Mtu…

29 April 2024, 9:39 pm

Dr.Samia aombwa kusimama na watoto wa kike

Haikuwa rahisi kwa vijana wa kike kupenya na kufaulu vizuri katika taaluma kama walivyo vijana wa kiume hapa nchini Tanzania na watu wengi waliamini hivyo huko nyuma. Jambo hili pia lilisababisha wanafunzi wa kike kusita kuchagua kusoma masomo ya sayansi.…

22 April 2024, 8:43 am

Wananchi wapewa mbinu za kukomesha uhalifu

Jamii bila uhalifu inawezekana ikiwa ushirikiano na utoaji wa taarifa kwa wakati kwa jeshi la polisi vitapewa kipaumbele. Na Eliud Henry: Wananchi wilayani Karagwe wametakiwa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuripoti vitendo vya kihalifu  ili kudumisha amani katika…

19 April 2024, 2:39 pm

Bashungwa akunwa na uwekezaji wa KARADEA

Elimu ni urithi pekee usio hamishika kwa mwanadamu, tuwapeleke watoto shule ili wapate maarifa. Na Devid Geofrey: Waziri wa Ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa viongozi na wasimamizi wa shule za serikali na binafsi…

16 April 2024, 1:18 am

DC Karagwe awakalia kooni askari wala rushwa

Rushwa ni adui wa haki, utu, heshima na haki msingi za binadamu hivyo jamii lazima ishiriki vyema kuitokomeza Na Devid Geofrey: Mkuu wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Julius Kalanga Laizer amepiga marufuku vituo vya polisi kuwatoza  wananchi fedha kwa…

3 December 2021, 9:58 pm

Neema kuwashukia wana KCU 1990 L.T.D

Wajumbe wa bodi ya Chama Kikuu Cha Ushirika Kagera KCU 1990 LTD wamefanya mazungumzo na Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Dr Benson Ndiege juu ya masoko ya zao la kahawa pamoja na mikakati uboreshaji wa shughuli za Ushirika zinazotekelezwa…

15 November 2021, 11:30 am

Miradi ya Maendeleo yatengewa Bilioni 3.3

Zaidi ya shilingi bilioni tatu zimetolewa kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Karagwe kama pesa iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwaajili ya mapambano dhidi ya Uviko-19. Akizungumza na Redio Karagwe Fm sauti ya…