Karagwe FM

Karagwe – FM

29 September 2021, 6:44 am

Maulidi kitaifa kuadhimishwa mkoani Kagera

Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA Makao makuu linatarajia kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad maarufu kama Maulidi mwaka huu kitaifa mkoani Kagera. Akiongea na wandishi wa habari Septemba 28 mwaka huu Sheikh wa mkoa wa Kagera alhaji Haruna Kichwabuta…

Tundu Lissu

22 September 2021, 1:52 pm

Tundu Lissu na Wenzake Wapata Neema.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeifuta kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleao (Chadema) Tanzania Bara, Tundu Lissu na wenzake wanne.Ni baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza mahakama hiyo kuwa hana…

11 August 2021, 7:28 am

World Vision yatoa msaada wa Mil-16.

Shirika la World Vission mradi wa Missenyi ADP wilayani Missenyi, limekabidhi zaidi ya shilingi million 65 za matundu 16 ya vyoo vya wanafuzi katika shule za misingi Gabulanga, Rwazi na Kilimilile.

11 August 2021, 7:16 am

Viongozi: Epukeni upendeleo TASAF

Viongozi kwa kushirikiana na wananchi wilayani Karagwe wametakiwa kupitisha wananchi wenye kaya masikini kwa kuzingatia sifa za walengwa wa mfuko wa TASAF bila upendeleo ili kuepusha manung’uniko. wito huo umetolewa naye bwana AhamWito huo umetolewa na Bwana Ahamed Mafyu Kwaniaba…

29 June 2021, 8:22 am

Agizo kwa waliopata Hati yenye mashaka.

Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja General Charles Mbuge ameliagiza baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya Karagwe mkoani Kagera kuhakikisha linawachulia hatua za kisheria  watumishi waliobainika kutumia vibaya madaraka ya ofisi na kusababisha Halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka…

Miss Kagera 2021

27 May 2021, 8:26 am

Miss Mkoa kukabidhiwa Ndinga ya kisasa.

Mchakato wa Kumpata Mrembo atakayewakilisha Mkoa wa Kagera katika Shindano la Miss Tanzania 2021, umeanza kushika Kasi katika Mkoa wa Kagera, Baada ya Kamati ya Maandalizi kwa kushirikiana na Waandaaji Kutambulisha Rasmi zawadi ya Mshindi wa Taji hilo. Akitambulisha zawadi…

Misenyi

17 May 2021, 10:16 pm

Watano watumbuliwa Misenyi

Viongozi 5 wa Chama Cha Ushirika wa wakulima wa miwa Missenyi UWAMMISE na BUBARE AMCOS wameondolewa kwenye uongozi baada yakukiuka kanuni na taratibu za Ushirika. Akitangaza kuwaondoa kwenye uongozi Jumatatu Mei 5 mwaka huu ,Afisa Ushirika Wilaya ya Missenyi Gabinus…

WAZIRI BASHUNGWA

11 May 2021, 12:01 pm

Waziri Bashungwa awafuturisha Waislamu.

Mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa ambaye pia ni waziri wa habari,utamaduni sanaa na michezi amewafuturisha waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wageni waalikwa huku Futari hiyo ikiambatana na harambee ya ujenzi wa kituo cha afya. Shehe wa…

11 May 2021, 11:34 am

Miradi yalamba Milioni 96 kwa miezi 3.

Zaidi ya shilingi Milioni 96 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika kata ya Kayanga wilaya Karagwe kwa kipindi cha robo ya mwaka 2021. Akizungumza na Redio Karagwe Fm sauti ya wananchi May 11 mwaka huu,Diwani wa kata Kayanga bwana…

UJENZI

14 April 2021, 9:31 pm

Kata kujenga zahanati na Sekondari.

Wananchi wa kitongoji cha Bugene Kata ya Bugene Wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera wametakiwa kushiriki kikamilifu ili kufanikisha ujenzi wa Shule ya sekondari na Zahanati kwenye kata hiyo vinavyo tarajiwa kujegwa hivi karibuni. Diwani wa kata hiyo Mugisha  Anselim amebainisha…