Kahama FM
Recent posts
March 24, 2021, 10:51 am
TADIO yazitaka Redio za kijamii kuchangamkia nguvu ya Teknolojia.
Radio za kijamii nchini zimetakiwa kutumia tovuti ya kurusha matangazo mubashara ya TADIO kuibua na kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao ikiwa ni Pamoja na kutanua wigo wa masoko katika kukuza kipato cha radio hizo. Wito huo umetolewa leo…