Recent posts
29 March 2026, 00:23
TANESCO Kahama yakabidhiwa vitendea kazi
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imekabidhi vitendea kazi kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga, vikiwemo magari manne, bajaji moja na pikipiki mbili, ili kuboresha utoaji wa huduma za umeme hasa vijijini. Na Sebastian Mnakaya Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika mjini…
26 March 2026, 12:03
Halmashauri Ushetu yazindua rasmi chanjo ya polio
”Chanjo ya polio ni salama, imehakikiwa kitaalam, na hutolewa bila malipo yoyote, hivyo hakuna sababu kwa mzazi au mlezi kushindwa kumpeleka mtoto wake kupata huduma hiyo muhimu” Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga imezindua rasmi kampeni ya…
25 March 2026, 16:25
Polio yabisha hodi Mwanza, Kahama yazindua utoaji chanjo
Na Sebastian Mnakaya Watoto takribani 145,820 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo ya polio Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga huku watoa huduma ya chanjo wakitarajia kuwafikia watoto hao nyumba kwa nyumba, stend, sokoni, shule, vituo vya kulea watoto na kliniki. Kaimu Mganga…
23 March 2026, 18:18
Mabinti 18 wanaoishi mazingira magumu Kahama wafadhiliwa masomo
Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya mabinti 18 wanaoishi katika mazingira magumu halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamepatiwa ufadhili na serikali kusomeshwa katika elimu ya ufundi VETA kwa fani mbalimbali, ikiwemo ufundi cherehani na ususi. Akizungumza wakati wa kuwaaga…
20 March 2026, 21:18
Wanawake Kahama mguu sawa tuzo za ‘mwanamke mjasiriamali’
”Wajasiriamali wa wilaya ya Kahama, changamkieni fursa kupitia jukwaa la Mwanamke Mjasiriamali” Sebastian Mnakaya Wanawake wajasiriamali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamezindua jukwaa lao la Mwanamke Mjasiriamali kwa lengo la kusaidiana katika shughuli zao za kujipatia vipato pamoja na mikopo isiyokuwa…
19 March 2026, 16:48
Kahama wapiga marufuku viongozi wa mitaa kujihusisha na uuzaji wa viwanja
Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepiga marufuku wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji kujihusisha na mikataba ya mauziano ya viwanja na maeneo kwakuwa ni kinyume na utaratibu wa sheria za manispaa. Sebastian Mnakaya Agizo hilo limetolewa na kaimu Mkurugenzi…
17 March 2026, 14:26
Megawati 50 za Umeme wa jua Kishapu zaikosha kamati ya Bunge
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya nishati (Energy Mix) ukiwamo mradi wa kuzalisha umeme wa jua wenye uwezo wa megawati 50…
17 March 2026, 13:30
Wakazi wa Lugela-Mtakuja kuondokana na changamoto ya nishati ya umeme
”Huduma ya niashati ya umeme kwa mtaa wa Lugela-Mtakuja unatarajiwa kufika katika eneo hilo hivi karibuni” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinynga, wanatarajia kupatiwa huduma ya nishati ya umeme katika maeneo…
6 March 2026, 19:29
Milioni 15 kujenga mitaro ya barabara katika mtaa wa mtakuja, Nyahanga
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetoa shilingi milioni 15 kwa kila kata kwa ajili ya ukarabati wa barabara, huku fedha hizo kwa kata ya nyahanga zikitengwa kwa ajili ya mitaro pembezoni mwa barabara. Akizungumza na wananchi wa…
2 March 2026, 12:43
Wanaume Kahama washauriwa kuwapeleka wenza wao kliniki
Wanaume kuwapeleka wenza wao kliniki si jambo ambalo limezoeleka katika jamii, lakini ni muhimu kwa baba na mama kwenda cliniki pamoja kujua afya zao na kupata elimu kwa pamoja. Na Faustine Mathias Baadhi ya wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameelezea…
