Kahama FM

wananchi wametakiwa kuacha Mila potofu juu ya ugonjwa wa fistula

September 9, 2024, 5:19 pm

Nakaniwa Mshana mratibu wa ugonjwa wa fistula picha na Sebastian Mnakaya

Mshana amewataka wanawake wajawazito wanapopata uchungu wanashauriwa kufika hospitali mapema pasipo kutumia dawa za asili ili aweze kujifungua salama.

Na Sebastin Mnakaya

Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekiwa kuacha tabia ya imani potofu ya kudhani ugonjwa wa fistula unawapata wanawake baada ya kujifungua kuhusiswa na imani za kishirikina.

Katika hatua nyinge, Mshana wamewataka wananchi kutowanyanyapa wagonjwa wa fistula na baada yake wawafikishe katika kituo vya afya kwa ajili ya matibabu, huku katika mradi huo utaweza kuwatibu bure pasipo gharama yoyote mpaka watapopona.

Suati ya mratibu wa ugonjwa wa fistula Nakaiwa Mshana

Mshana amewataka wanawake wajawazito wanapopata uchungu wanashauriwa kufika hospitali mapema pasipo kutumia dawa za asili ili aweze kujifungua salama.

kwa upande wake afisa muuguzi kutoka halmahauri ya Msalala Justin Mayumba amesema wanawake wengi wanaopata tatizo la fistula hupatwa na msongo wa mawazo hivyo kuathirika kisaikolojia