Umeme
29 August 2024, 4:16 pm
Unafanya nini ili mwanamke awe kiongozi?
Na Mwandishi wetu Evanda Barnaba Jamii ya Kimaasai ni moja ya jamii kubwa Kaskazini mwa Tanzania pia imekuwa ni moja ya jamii iliyoendelea kutunza mila, desturi na tamaduni nzuri lakini zipo baadhi ya mila ambazo ni mbaya, moja ya mila…
28 August 2024, 15:38
Mwanaume ajinyonga kwa kutumia shuka Mbeya
Maisha yana changamoto nyingi ambapo husababisha baadhi ya watu kuwa na msongo wa mawazo, hali hiyo husababisha wengine kujiondoa duniani kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujinyonga na wengine kunywa sumu. Na Flora Godwin Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina…
August 15, 2024, 10:45 pm
Mwenge wa Uhuru wazindua Jengo jipya la uchunguzi Kahama
watumishi wa sekta za afya endeleeni kutoa huduma nzuri kwa wananchi baada ya serikali kutengeneza miundombinu rafiki kufanyia kazi Na Kitila Peter Halmashauri ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepongezwa kwa kuendelea kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili…
13 August 2024, 11:28 am
Kiongozi wako anawashirikisha vijana kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Picha kwa msaada wa mtandao Ushiriki wa vijana katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia ni muhimu kwa sababu wao ni sehemu kubwa ya idadi ya watu na wana nguvu ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kujihusisha kwao kunasaidia kujenga…
24 July 2024, 2:29 pm
Mwanamke unafanya shughuli gani kuongeza kipato kipindi cha ukame?
Picha kwa msaada wa mtandao Na waandishi wetu Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote ya kuwapatia kipato. Kwenye jamii…
15 July 2024, 9:27 pm
Majani yanayodhaniwa ni dawa za kulevya yakamatwa kwenye roli la mafuta Bunda
Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Bunda kwa kushirikiana na mamlaka ya dawa za kulevya Kanda ya Ziwa wamekata magunia 205 yanayodhaniwa kuwa dawa za kulevya. Na Edward Lucas Shehena ya magunia 205 yenye majani makavu yanayodhaniwa kuwa ni madawa…
13 July 2024, 05:18
Sangoma adaiwa kumbaka binti yake Mbeya
Katika hali ya kushangaza binti mmoja mkoani Mbeya anadaiwa kufanyiwa kitendo cha ukatili na mzazi wake wa kumzaa (Baba) kwa kudaiwa kufanya naye tendo la ndoa. Na Ezekiel Kamanga Masumbuko Sompo (51) mganga wa jadi mkazi wa kijiji cha Nyombwe…
10 July 2024, 3:35 pm
Mwenyekiti CCM afariki kwa kujinyonga
Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Sengerema kimepata pigo jingine la kufiwa na mwenyekiti wa tawi la Majengo Buchosa kwa kujinyonga. Ikumbukwe mnamo mwezi mei aliyekuwa mwenyekiti wa UWT wilaya Ndg.Jeni Msoga alifariki Dunia kwa maradhi ya shinikizo la damu. Na…
19 June 2024, 1:34 pm
Vikao vinavyofanyika kwenye eneo lako vinatoa nafasi ya kujadili maswala ya ukek…
Kulingana na ripoti ya afya ya demografia na makazi yaani Demographic And Health Survey ya mwaka 2015/16 mkoa wa Manyara unaongoza kwa ukeketaji kwa asilimia 58 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15-49 wamefanyiwa ukeketaji. Nijuze redio show. Bado…
10 June 2024, 5:05 pm
Arusha Express yaua wa 3 Manyara
Kamanda wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi awataka wananchi mkoani Manyara kuchukua tahadhari kwa kuangalia usalama wao pindi ajali zinapotokea kwa kuacha kusogea karibu na eneo la tukio. Na George Augustino Watu watatu wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada…