Viuatilifu
21 November 2022, 15:50 pm
Mil.27.8 za Mapato ya ndani zatumika kutekeleza Afua za Lishe Mtwara Manispaa.
Na Gregory Millanzi. Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imetumia shilingi milioni ishirini na saba na laki nane (27,800,000) kutoka katika mapato yake ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za afua za lishe kwa Watoto wenye umri chini ya…
17 November 2022, 16:52 pm
WAJAWAZITO LIKOMBE WAENDELEA KUONWA, WAPOKEA VIFAA VYA KUJIFUNGULIA KUTOKA PLATI…
Na Gregory Millanzi Kampuni ya Utoaji wa mikopo ya Platinum Novemba 10,2022 imekabidhi vifaa tiba vya kujifungulia vyenye thamani ya shilingi milioni sita( 6,000,000) kwa Kituo cha afya cha Likombe kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani ili kusaidia kutatua…
2 November 2022, 13:17 pm
Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara yafanya tathimini
Na Gregory Millanzi Kamati ya lishe ya Halmashauri ya Wilaya Mtwara jana Novemba 1, 2022 imefanya kikao cha tathmini na Mkataba wa Lishe wa Kata na Vijiji. Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya Mtwara Bi. Magreth Tingo amewasilisha taarifa ya…
26 July 2022, 20:37 pm
Wanafunzi 11 na watu wazima 2 Wafariki katika ajali ya Basi la wanafunzi la King…
Na Gregory Millanzi. Kufuatia ajali ya Basi dogo la Wanafunzi aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T207 CTS la shule ya King David Mtwara imepata ajali eneo la Mji mwema Kata ya Magengeni, Mikindani Mkoani Mtwara Wanafunzi 11,…
8 July 2022, 14:28 pm
MAKALA: wananchi wakerwa na tabia za kuwatupa watoto
Utupaji wa watoto wachanga mara baada ya kuzaliwa limekuwa ni tukio la kikatili ambalo kwasasa limeonekana kushamili katika jamii katika nchi za kiafrika. Katika tukio la hivi karibuni lililotokea katika msitu uliopo kata ya Naliendele, Jamii fm imeangazia tukio hilo…
27 May 2022, 14:44 pm
NMB yasaidia Vifaa vya kujifungulia mama wajawazito Likombe Mtwara
Na Gregory Millanzi Katika Kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuboresha Sekta ya afya hapa nchini, Benki ya NMB Kanda ya Kusini imekabidhi viti mwendo vitano (Wheel Chair) na Vitanda Viwili vya kujifungulia (Delivery beds) kwa akina mama wajawazito…
26 May 2022, 15:01 pm
Manispaa ya Mtwara Mikindani yavuka lengo la Chanjo ya Polio
Na Gregory Millanzi Halmashauri ya Manispaa Mtwara-Mikindani iliyopo Mkoani Mtwara imevuka lengo la Uchanjaji wa Chanjo ya Polio kwa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano baada ya kuchanja Watoto elfu 18760 sawa na asilimia 119 Kati ya elfu 15760…
30 April 2022, 06:42 am
Masasi yazindua kampeni ya chanjo ya Polio kwa Watoto
Na Gregory Millanzi. WILAYA ya Masasi mkoani Mtwara imezindua rasmi Kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya ugonjwa wa Polio kwa watoto zaidi ya 55,234 walio chini ya miaka mitano lengo likiwa ni kuwakinga dhidi ya maambukizi ya virusi…
31 July 2021, 15:18 pm
Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki
Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…