Jamii FM

Viuatilifu

8 July 2022, 14:28 pm

MAKALA: wananchi wakerwa na tabia za kuwatupa watoto

Utupaji wa watoto wachanga mara baada ya kuzaliwa limekuwa ni tukio la kikatili ambalo kwasasa limeonekana kushamili katika jamii katika nchi za kiafrika. Katika tukio la hivi karibuni lililotokea katika msitu uliopo kata ya Naliendele, Jamii fm imeangazia tukio hilo…

Akitoa maelezo juu ya chanjo

30 April 2022, 06:42 am

Masasi yazindua kampeni ya chanjo ya Polio kwa Watoto

Na Gregory Millanzi. WILAYA ya Masasi mkoani Mtwara imezindua rasmi Kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya ugonjwa wa Polio kwa watoto zaidi ya 55,234 walio chini ya miaka mitano lengo likiwa ni kuwakinga dhidi ya maambukizi ya virusi…

31 July 2021, 15:18 pm

Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki

Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…