FM Manyara

Mahakama

November 13, 2025, 5:33 pm

Wakulima Mara kunufaika na mbegu za ruzuku

”Nawaomba wakulima wote kujiunga kwenye mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) ili waweze kuwa na sifa za kukopeshwa pembejeo za kilimo” Benard Mathew afisa kilimo kata ya Bunda stoo Na Amos Marwa Wakulima wadogowagogo mkoa wa Mara wamehakikishiwa fursa…

9 October 2025, 12:32 pm

Matumizi ya mtandao yazingatiwe kuongeza ubunifu

Matumizi sahihi ya mtandao yanachangia kukuza ubunifu na maarifa katika nyanja mbalimbali. Kupitia teknolojia hii, watu wanaweza kupata taarifa, kujifunza mbinu mpya, na kubuni mawazo yatakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Picha na Google. Bi. Lawi ameongeza kuwa mtu anaweza…

October 1, 2025, 4:36 pm

Dampo tishio kwa wafanayabiashra, wakazi wa Kwashayo

Kuelekea msimu wa mvua baadhi ya wafanyabiashara na wakazi katika mtaa wa soko la Kwashayo katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameomba kutafutiwa suluhisho la kudumu kuhusu Dampo la taka linalopatikana maeneo hayo. Na:Irene Charles Baadhi ya wafanyabiashara na wakazi katika…

24 September 2025, 2:35 pm

UDP kuifanya Arusha kitovu cha utalii wa michezo

“Suala zima la riadha,suala zima la mpira wa miguu,mpira wa mikono,mpira wa pete na michezo aina nyinginezo nyingi kwa sababu tunaona fursa ya ajira” Na Joel Headman Mgombeau rais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha United Democratic Party (UDP)…

17 September 2025, 10:36 am

Ubwabwa ni lugha ya picha-Mgombea CHAUMMA

“Nimekuja kupitia kauli yangu ya mimi nitawafikisha,endapo nitapata…endapo nitafanikiwa kuwa mbunge wa jimbo hili” Na Joel Headman Mgombea ubunge jimbo la Arumeru Magharibi kupitia chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) bi.Nasinyari Mollel ameeleza kuwa sera inayopigiwa chapuo na chama chake…

September 9, 2025, 6:08 am

Polisi Songwe yakabidhiwa magari sita

Na Denis Sinkonde Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Senga amekabidhi jumla ya magari 6 mapya kwa ajili ya kuimarisha utendaji kazi wa Jeshi hilo hususani kuzuia na kupambana na uhalifu. Akizungumza wakati wa…

August 23, 2025, 1:39 pm

Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64

Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…