Dodoma FM
Dodoma FM
17 December 2025, 2:37 pm
Bima ya afya imetajwa kuwa msaada kwa wananchi kupata huduma bora za afya. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya zote mkoani hapa kuhakikisha kuwa vituo vyote vya afya vinafungwa na…
15 December 2025, 3:30 pm
Kipindi hiki cha sikukuu, LATRA imeimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri ili kuhakikisha magari yako katika hali salama, yana bima halali na hayazidishi abiria. Na Anwary Shaban. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa…
12 December 2025, 22:57
Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi Na Mwandishi wetu Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari Mkoani Kigoma wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya Maendeleo inayotekelezwa Manispaa…
10 December 2025, 13:19
Wilaya Kasulu imeendelea kuwa mfano bora kwa uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, ambaye ni Katibu tawala wa wilaya ya Kasulu Bi. Theresia Mtelewe, amesema wilaya…
26 November 2025, 7:15 am
“Bima hizo zitawasaidia kupata fidia endapo utakutana ana majanga yatakayoharibu biashara” Na Godfrey Mengele Wafanyabiashara wanaojishughulisha na shughuli za sekta isiyo rasmi ikiwamo bodaboda, mamalishe, wauza mitumba na makundi mengine wametakiwa kujiunga na huduma za bima ili kujilinda na majanga…
20 November 2025, 11:36 am
Kwa mujibu wa taarifa zilizokusanywa na Radio Sengerema hivi karibuni matukio ya watu kujiua yanaonesha kuongezeko kwa kasi katika wilayani Sengerema. Na.Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wametakiwa kuwa na hofu ya Mungu na kuacha kuchukua maamuzi ya kujiua…
6 November 2025, 1:44 pm
Baadhi ya abiria kuwa hukumbana na kero ya kuombwa wasaidie kubeba watoto pindi wanapo kuwa safarini kutokana na mzazi kukata siti moja huku watoto alio nao wakikosa mahali pa kukaa. Na Anwary shaban.Abiria wanao tumia huduma ya usafiri wa mabasi…
7 October 2025, 5:16 pm
Na Mary Julius. Katika kuadhimisha Siku ya Uoni Hafifu Duniani, Wizara ya Afya Zanzibar kwa kushirikiana na Maisha MedsnaPondeza Foundation wameandaa zoezi maalumu la upimaji wa macho litakalofanyika katika Jimbo la Chumbuni na Jimbo la Mtoni. Zoezi hilo la siku…
5 October 2025, 5:57 pm
Katika hali ya kusikitisha mwili wa mtoto Magreth Dickson (7) umekutwa umetelekezwa katika mtaa wa Katoma ikiwa ni siku sita tangu kutangazwa na kituo cha Storm FM kuwa amepotea. Na: Ester Mabula Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 7…
24 September 2025, 10:47 pm
“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…