usaffi
21 July 2023, 4:11 pm
Viongozi wa kijiji Zejele watakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji wa maeneo
Mhe Nolo amesema kuwa serikali ya kijiji isijiingize kwenye udalali wa kuuza ardhi kwani itakuwa ni chanzo cha mgogoro kwa wananchi . Na Seleman Kodima. Viongozi wa serikali ya kijiji cha Zejele kata ya Nondwa wametakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji…
12 July 2023, 1:41 pm
Wananchi Bahi watakiwa kutunza chakula
Mara nyingi jamii imekuwa ikishauriwa kuhifadhi sehemu ya mavuno ya mazao ili kusaidia upatikanaji wa chakula cha kutosha katika familia na kuepusha hali ya kuanza kuwa tegemezi kutokana na kuuzwa kwa mazao yote. Na Mindi Joseph. Wakulima Kata zote Wilayani…
10 July 2023, 2:56 pm
Wilaya ya Bahi yaagizwa kuongeza shule za kidato cha nne na tano
Mheshimiwa Godwin Gongwe ameahidi kuhakikisha anasimamia utekelezaji wa Maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa. Na Bernad Magawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Sitaki Senyamule ameuagiza uongozi wa wilaya ya Bahi kuongeza shule za kidao cha tano na…
6 July 2023, 4:50 pm
Bahi: Nollo kupeleka umeme, maji shule mpya ya Nagulo
Nollo amesema kufanya hivyo kutaongeza thamani katika mradi huo ulioletwa na serikali kwa lengo la kuwasaidia wananchi. Na Bernad Magawa Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji umeme pamoja na kuchonga barabara kuingia shuleni…
4 July 2023, 4:39 pm
Zaidi ya shilingi millioni 300 kujenga miundombinu ya maji Kigwe
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
28 June 2023, 5:41 pm
Milioni 560 kutatua kero ya maji Bahi
Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umeendelea kuwa changamoto katika baadhi ya vijiji mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph. Milioni 560 zinatarajiwa kutumika katika kuchimba kisima cha maji ndani ya kijiji cha Uhelela wilayani Bahi mkoani Dodoma ambacho kitahudumia…
22 June 2023, 4:14 pm
Wananchi Chali Isanga waahidiwa shule ya sekondari
Wanafunzi wa kijiji hicho wamekuwa wakilazimika kutembea kilomita zaidi ya 16 kufuata shule ya sekondari Chokopelo. Na Bernad Magawa. Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Comredi Daniel Chongolo ameahidi kujenga shule ya Sekondari kijiji cha chali Isanga wilayani Bahi…
7 June 2023, 5:06 pm
Bahi: Adha ya maji Lamaiti yafikia tamati
Mradi huo uliojengwa kwa hisani ya shirika la Water Mission ukigharimu zaidi ya milioni 800 za kitanzania, ni moja ya miradi mikubwa ya maji wilayani Bahi na umetatua changamoto za maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji hicho cha…
5 June 2023, 5:56 pm
DC Gondwe aagiza miradi ya BOOST kukamilika kwa wakati
Pia alitembelea jengo jipya la benki ya NMB wilaya ya Bahi ambalo tayari limekamilika na linatarajiwa kuanza kutoa huduma muda wowote. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe ameagiza miradi yote ya miundombinu ya elimu wilayani…
23 May 2023, 3:52 pm
Miaka 65 ya ndoa: Wafariki na kuzikwa siku moja
Tukio hilo la aina yake limewatafakarisha watu wengi maeneo hayo huku wengine wakidai ni msiba wa aina yake ambao umevuta hisia za watu wengi na kuweka historia kwa waombolezaji waliofika msibani hapo. Na. Bernad Magawa . Katika hali ambayo si…