usaffi
12 May 2023, 12:19 pm
Wanafunzi wawili wafariki Dunia na wengine 31 kujeruhiwa katika ajali ya gari
ASP Ramadhani amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi kasi uliosababisha gari kumshinda dereva kuacha njia na kupinduka ambapo hadi sasa dereva huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo. Na Bernad Magawa Wanafunzi wawili wa shule ya sekondari…
8 May 2023, 1:51 pm
Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…
4 May 2023, 2:58 pm
Wazazi waombwa kuchangia chakula cha Mchana shuleni
Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa wanafunzi wa sekondari wanakuwa makini katika ujifunzaji wawapo shuleni hususa ni nyakati za mchana, wazazi wilayani Bahi wameombwa kuwezesha upatikanaji wa chakula cha mchana shuleni ili wanafunzi waweze kujifunza kwa utullivu. Akizungumza na kituo…
28 April 2023, 12:23 pm
Afisa elimu Msingi Bahi atoa Motisha kwa walimu kata ya Bahi
Afisa Elimu katika kata hiyo ameahidi kuhakikisha ufaulu unapanda zaidi. Na Bernad Magawa. Afisa elimu Msingi wilaya ya Bahi Boniface Wilson ametoa motisha ya kilo 25 za sukari kwa kila shule kwenye kata ya Bahi yenye jumla ya shule tano…
27 April 2023, 6:54 pm
Wakulima Kongogo waahidiwa mashine za kisasa
Na Mindi Joseph. Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo amewaahidi wakulima wa Kongogo kuwanunulia mashine za kisasa za kupandia mpunga pindi tu ujenzi wa skimu ya umwagiliaji utakapokamilika 2024. Akizungumza na Wakulima hao amesema wilaya ya bahi imekuwa ikizalisha…
21 April 2023, 4:26 pm
Wananchi Kongogo waridhia mradi wa ujenzi wa skimu za umwagiliaji
Mradi huo utagharimu Bilioni 5.6 na unakadiriwa kutumia kipindi cha mwaka Mmoja na Miezi sita kukamilika. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji cha Kongogo kata ya Babayu Wilayani Bahi wameridhia ujenzi wa Mradi wa skimu za kilimo cha Umwagiliaji kutekelezwa…
21 April 2023, 2:37 pm
Serikali yajenga nyumba bora za walimu Bahi
Katika hatua nyingine kamati ya Fedha Uongozi na Mipango ilibaini Mapungufu katika ujenzi wa vyumba viwili vya Maabara shule ya sekondari Chonama. Na. Bernad Magwa. Walimu wa shule za msingi wilayani Bahi wameishukuru serikali kwa kuwajengea nyumba bora za makazi…
27 March 2023, 3:42 pm
Wananchi washiriki ujenzi wa barabara Bahi sokoni
Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wamejitokeza kwa wingi kushiriki Ujenzi wa Barabara inayotarajiwa kuunganisha mawasiliano ya wananchi wa kijiji hicho na kitongoji cha Sanduli ambacho hakikuwa na barabara. Barabara hiyo ambayo inajengwa kwa nguvu za wananchi…
16 March 2023, 3:39 pm
DC Gondwe apiga marufuku wanafunzi kuchunga mifugo siku za masomo
ni vema wazazi kupunguza tabia ya kuwa wakali kwa watoto wao na badala yake wajenge urafiki kwa kuzungumza nao mara kwa mara ili wasiwaogope , bali wawe huru kwa wazazi wao kueleza changamoto mbalimbali. Na Benard Magawa Mkuu wa Wilaya…
20 February 2023, 12:29 pm
DC. Gondwe na kampeni ya kuku Robo matibabu mwaka mzima
Kwa sasa hospitali hiyo inatoa huduma zote muhimu zikiwemo huduma za wagonjwa wa nje, huduma za maabara, huduma ya Mionzi, upasuaji kwa wajawazito na upasuaji wa kawaida, huduma za watoto njiti ambazo hapo awali wananchi walilazimika kuzifuata Dodoma mjini, Na…