usaffi
17 February 2023, 10:53 am
Idara ya Elimu Msingi Bahi yazidi kung’ara
Na Benard Magawa Ikiwa imetimu takribani zaidi ya miezi miwili tangu kutangazwa kwa matokeo ya darasa la saba hapa nchini Disemba mwaka 2022 ambayo yaliweka historia mpya kwa wilaya ya Bahi baada ya wilaya hiyo kuwa kinara mfululizo kwa miaka…
2 February 2023, 4:07 pm
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka nafasi ya kumi hadi ya tano kitaifa kwa mwaka 2023/2024. Na Benard Magawa . Halmashauri ya wilaya ya Bahi imeanza mikakati ya kuhakikisha wanapandisha zaidi ufaulu kwa mwaka 2023 lengo likiwa…
28 January 2023, 9:13 am
Mkuu Wa Wilaya ya Bahi Godwin Gondwe Ahidi Kuendeleza Mazuri
Na; Bernad Magawa.Mkuu wa wilaya ya Bahi Godwin Gondwe ameahidi kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya hiyo Mwanahamisi Munkunda na kuwaahidi wananchi wa Bahi kufanya kazi kwa uwezo wake wote ili kuhakikisha kuwa wilaya hiyo inaendelea kuwa…
31 January 2022, 4:02 pm
Viongozi watakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza usafi katika maeneo
Na ;Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini hapa wamesema ili kuhakikisha suala la usafi linapewa kipaumbele katika mitaa mbalimbali ya jiji viongozi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza suala hilo. wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi jijini hapa…