Unyonyeshaji
20 January 2023, 3:12 pm
Serikali yatatua kero ya maji Mvumi Misheni
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mvumi misheni Wilayani Chamwino wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa juhudi za kutatua changamoto ya maji Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa kujengwa kwa mradi huo wa …
20 October 2022, 12:20 pm
Wakazi wa Chenene walia na uhaba wa maji
Na; Benard Filbert. Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo . Taswira ya habari imefika katika kijiji cha Chenene nakujionea hali halisi ya upatikanaji…
19 October 2022, 8:57 am
Serikali yaahidi kutatua changamoto ya maji Chunyu
Na;Mindi Josph . Serikali imeahidi kuchimba visima vya maji ili kutatua changamoto ya maji inayowakabili wananchi wa kijiji cha chunyu wilayani Mpwapwa. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wamesema hadi sasa wanatumia maji chumvi ambayo…
12 October 2022, 12:17 pm
Wakazi wa Makutupa wakabiliwa na uhaba wa maji safi na salama
Na; Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Makutupa wilayani kongwa wameendelea kutumia maji yasiyo safi na salama licha ya uwepo wa juhudi za uongozi wa kata ya ngomai kukabiliana na changamoto hiyo. Hali hiyo imesababisha uwepo matumizi ya maji…
19 July 2022, 1:35 pm
Serikali yatenga bilioni 387. 73 kwaajili ya maji vijijini
Na;Mindi Joseph . Serikali imetenga Shilingi Bilion 387.73 kwa ajili ya uwekezaji wa huduma ya maji maeneo ya vijijini ili kutatua changamoto inayowakabili wananchi. Akizungumza leo jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali Mkurungezi Mkuu wa…
11 July 2022, 2:02 pm
Wakazi wa Mlowa bwawani wapata huduma ya maji safi na salama
Na;Mindi Joseph . Imeelezwa kuwa kukamilika kwa ujenzi wa tenki la maji linalojengwa Mlowa Bwawani litasaidia wananchi kupata maji safi na salama na kuondokana na kutumia maji ya chumvi. Taswira ya habari imezungumza na Diwani wa kata hiyo Andrew Richard…
28 June 2022, 9:17 am
Kisima cha maji chaleta Neema kwa wakazi wa Farkwa.
Na ;Victor Chigwada. Kupatikana kwa mita ya kisima Cha maji katika Kijiji cha Farkwa imesaidia kupunguza changamoto ya maji katika eneo hilo. Akizungumza na taswira ya habari Diwani wa Kata hiyo Bw.Stephano Patrick amekiri hali ya upatikanaji wa maji Kijiji…
31 May 2022, 1:30 pm
Uhaba wa maji Suguta ni kikwazo cha ndoa nyingi
Na;Mindi Joseph . Wananchi Kijiji cha Suguta wilayani kongwa wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji ambayo inawakabili kwa Muda mrefu. Taswira ya habari imezungumza na Baadhi ya wanawake ambapo wamesema wamekuwa wakilazimika kukaa kisima kwa muda mrefu wakisubiria kuchota maji.…
10 May 2022, 4:10 pm
Wakazi wa kisisi walazimika kutumia maji ya visima vya asili
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Kisisi Wilayani Mpwapwa wanalazimika kutumia maji ya visima vya asili kutokana na kukosa huduma ya maji Safi na salama Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa licha ya kuchota maji ya visima vya…
6 May 2022, 3:13 pm
Mazae waendelea kupata changamoto ya maji
Na,Mindi Joseph. Changamoto ya upatikanaji wa maji bado inaendelea kuwakabili wananchi wa kijiji cha mazae wilayani mpwapwa. Taswira ya habari imezungumza na Mwenyekiti wa kijiji cha mazae steven Makasi ambapo amesema changamoto hii imekuwepo kwa muda kirefu. Ameongeza kuwa wananchi…