Dodoma FM
Dodoma FM
5 March 2025, 1:14 pm
Katika kufahamu suala hilo mwandishi wetu Alfred Bulahya amefanya mahojiano na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya GFF. Na Alfred Bulahya.Tunapozungumzia ukatili wa kiuchumi ni kitendo cha kikatili ambacho mtu mmoja anaweza kumiliki kwa nguvu vyanzo vya uchumi vya…
March 4, 2025, 4:37 pm
Siku moja baada ya kuripotiwa kifo cha mwanamke mwenye ualbino Wande Mbiti mkazi wa kijiji cha Nhelegani kata ya Kizumbi Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga ambaye mwili wake umekutwa ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi huku mlango ukiwa umefungwa kwa nje,…
February 24, 2025, 12:48 pm
“Tunawashikilia Watuhumiwa wawili ambao ni Bundala Dalali na Issack Kulwa kwa kuhusika na tukio hili na upelelezi unaendelea tukikamilisha tutawafikisha Mahakamani,niwaombe Wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na kama mtu amekamatwa kwa tuhuma ya wizi ni bora akafikishwa polisi,”amesema Magomi. NA…
6 February 2025, 4:58 pm
“Wanaume wangeshirikishwa kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili ikiwemo ukeketaji vigeisha.” Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameitaka serikali kuwashirikisha wanaume zaidi katika mapambano ya vitendo vya ukatili ili yaweze kupungua. Wakizungumza na Dodoma Tv baadhi ya wananchi wilayani Kiteto mkoani Manyara…
20 January 2025, 10:57 am
Bajeti hii imezingatia Miongozo na Sera mbalimbali pamoja na Vipaumbele Muhimu kwa wananchi wa Maswa “DED Maswa Ndugu Maisha Mtipa” Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa Simiyu limepitisha Bajeti ya Shilingi Bilioni 47. 2 kwa ajili …
January 18, 2025, 5:32 pm
wachungaji wa ng’ombe walikuwa wanachunga katika maeneo hayo ndipo ng’ombe walikimbilia eneo hilo na kuanza kufukua, wachungaji waliwapiga ng’ombe ili watoke ndipo walipogundua kwamba kuna kitu kimefukiwa na kwenda kutoa taarifa Na Sebastian Mnakaya Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa…
7 January 2025, 10:05 AM
Halmashauri imetoa mafunzo kwa ajili ya wajasiriamali wadogo kwa ajili ya matumizi bora ya fedha ili kuepusha changamoto wakati wa urejeshwaji wa fedha hizo. Na Lilian Martin. Vikundi 28 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vinavyotarajia kupata mkopo wa…
23 December 2024, 5:36 pm
Wazazi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwalea watoto wao kwa kutenga muda wa kuzungumza nao na kuwajengea uwezo wa kuzungumza kipindi wakipata matatizo. Na Annuary Shaban.Wakazi wa Mtaa wa Nala, Segu Juu, Segu Chini na Chihoni, wamewezeshwa elimu ya…
16 December 2024, 4:57 pm
Wandishi wa habari na wafanya kazi wa Radio jamii Micheweni wakipatiwa mafunzo ya maadili ya habari na mkufunzi Hilali Alikisanda Ruhundwa kutoka Radio TADIO. Waandishi wa habari wapewa elimu ya maadili ya uandishi wa habari katika kituo cha Radio Jamii…
16 December 2024, 2:16 pm
Licha ya uwepo wa uhuru wa habari duniani lakini bado sheria za habari zinazotumika Zanzibar zinaonekana kubana wanahabari katika kutekeleza majukumu yao. Na Khadija Ali. Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuzisoma na kuzifahamu Sheria za habari lengo kujua mapungufu…