Dodoma FM

Ukatili

11 February 2021, 1:34 pm

Viongozi wa dini watakiwa kukemea ukatili kwa vitendo

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wito umetolewa kwa viongozi wa dini kuwa mstari wa mbele katika kuelekeza jamii mambo mema, ikiwepo kupinga na kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia.Hayo yameelezwa na shekhe Abdishakul Maulid wakati akizungumza katika kipindi cha Dodoma Live kinachorushwa…

4 February 2021, 1:51 pm

Ushirikiano mdogo wachochea vitendo vya ukatili

Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Imeelezwa kuwa ushirikiano mdogo baina ya mamlaka zinazoshughulikia masuala ya ukatili kwa wanawake na watoto, ni moja ya chanzo cha kuongezeka matukio hayo hali inayodhohofisha jitihada za kukomesha vitendo hivyo. Hayo yamebainishwa na mratibu wa kamati ya…