Dodoma FM
Dodoma FM
21 November 2025, 2:03 pm
Naye, Meneja wa TANROADS Dodoma, Mhandisi Zuhura Amani, amesema wataendelea kufuatilia na kuwasisitiza wakandarasi wote kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa mujibu wa mkataba. Na Seleman Kodima.Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kukamatwa kwa wakandarasi wa kampuni ya China First Highway Engineering…
27 October 2025, 3:31 pm
“Zingatieni maadili na viapo vyenu mnapoenda kusimamia uchaguzi katika vituo vyenu” Na Fredrick Siwale Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jimbo la Mafinga Mjini Imewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura kusimamia maadili na masharti ya…
October 7, 2025, 7:48 pm
Na Oscar Mwakipesile Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari…
27 September 2025, 5:50 pm
Na Kimwaga Shaban Mashindano ya ligi kuu Daraja la kwanza Taifa ya mchezo wa Pete ambayo yanafanyika katika Mkoa wa Tabora kuanzia Jumamosi Septemba 26, 2025 katika viwanja vya shule ya Tabora wasichana (Tabora Girls). Akizungumza na UFR Mwenyekiti wa…
September 11, 2025, 9:01 pm
“Kila mwana Mara anawajibu wa kutunza bonde la Mto Mara na hifadhi nyingine kwa ajili ya maendeleo yetu na vizazi vijavyo ‘’ Mkuu wa mkoa wa Mara Kanali Evans Alfred Mtambi. Na Amos Marwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanali Evance…
26 August 2025, 7:53 PM
“Tukichanja mbwa wetu, siku akikung’ata kutakuwa na madhara ya kawaida, tuhakikishe mbwa wanachanjwa ili kuepuka ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa“ Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kuwapa chanjo …
August 21, 2025, 2:07 am
Shilingi bilioni 45 zinatarajiwa kutumika kujenga madaraja matano mkoani Kagera ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati za mvua hali inayokwamisha shughuli za usafiri na ufarishaji mkoani Kagera. Na Avitus Kyaruzi Serikali inatekeleza ujenzi wa madaraja matano ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati…
16 August 2025, 6:36 pm
Na Joel Headman Kampuni ya bia ya Tanzania Breweries PLC (TBL) imekusudia kuwainua zaidi wakulima wa Shayiri walioko kanda ya Kaskazini na maeneo mengine ya nchi ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu ambayo hutumiwa kama kimea kwenye uzalishaji wa…
5 August 2025, 3:30 PM
“Jamii iache kuishi kwa mazoea kwenye suala la malezi hususani unyonyeshaji wa maziwa ya mama ili kuwaandaa watoto wenye ukuaji bora kimwili na kiakili” Na Neema Nandonde Kufuatia maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani, jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara, imeaswa…
5 August 2025, 12:00 pm
Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) Kanda ya ziwa imewataka watanzania kuwa makini na taarifa za kimtandao hasa taarifa za uongo. Na.Peter Marlesa Ungana na Peter Marlesa akiwa na Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa, akifafanua kwa Watanzania…