Dodoma FM
Dodoma FM
12 December 2025, 8:16 pm
picha kwa msaada wa AI Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Kuhudhuria maadhurio ya kliniki ya mtoto ni jambo la muhimu sana kwa mzazi, kwani ni fursa ya kipekee ya kufuatilia maendeleo ya afya ya mtoto wako. Kliniki inatoa nafasi ya…
12 December 2025, 1:55 pm
RUWASA imetakiwa kuhakikisha inapunguza upotevu wa maji na malalamiko ya bili kwa kufunga mita za wateja majumbani badala ya sehemu zilizo mbali na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama wilayani Nyang’hwale mkoani Geita…
12 December 2025, 9:24 am
Picha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mbunge wa Simanjiro, James Ole Milya Na mwandishi wetu Evanda Barnaba Naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki na mbunge wa jimbo la simanjiro…
8 December 2025, 5:11 pm
Wamiliki wa magari ya shule mkoani Manyara wametakiwa kusimamia magari ya kubeba wanafunzi na kuhakikisha magari hayo ni mazima ili kuondokana na ajali zinazo sababishwa na magari mabovu. Mkuu wa kikosi cha usalama bara barani mkoa wa Manyara Michael Mwakasungula,…
5 December 2025, 22:56
Nidhamu ya kitaaluma na utekelezaji wa maelekezo ya serikali katika kuimarisha mifumo ya fedha na uwazi wa taarifa vimetajwa kuchochea Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kutunukiwa tuzo ya mshindi wa pili ya uwasilishaji bora wa fedha kwa mwaka 2024 Na…
5 December 2025, 10:58 am
“Ulinzi kwa watoto wakati wa likizo ni vyema ukazingatiwa ili kuwalidhi shidi ya matukio ya ukatili” Na Fredrick Siwale Wazazi na Walezi Halmashauri ya Mji wa Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuwalinda Watoto wao kipindi cha likizo ya mwisho wa mwaka…
5 December 2025, 09:05
Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Dinah Mathamani amesema wataendelea kufanya oparesheni ili kubaini na kukamata nyavu haramu zinazotumiwa na wavuvi ndani ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Serikali wilayani Uvinza imeziteketeza nyavu haramu 197 katika Kijiji cha Rubengela kata…
28 November 2025, 6:11 pm
Baadhi ya wanawake wakiwa katika mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Manyara Hall -Ilaramatak Terrat Simanjiro kuhusu kuendana na adhari za mabadiliko ya tabianchi yaliyotolewa na shirika lisilo la kiserikali la PINGOs Forum leo Novembar 28,2025 (picha Evanda Barnaba). Na Joyce…
26 November 2025, 10:46 am
Matukio ya ukatili yamekuwa yakidumaza ustawi wa watoto na wanawake. Na Joyce Buganda Wadau na Wajumbe wa mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA sehemu ya 2 wametakiwa kutumia uzoefu wao katika kuelimisha jamii kupinga…
25 November 2025, 1:19 pm
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani, wananchi wameendelea kukumbushwa umuhimu wa kulinda haki, usalama na utu wa wanawake, wanaume na watoto katika jamii Akizungumza Orkonerei fm kupita kipindi cha mchaka mchaka kwa njia ya simu Bi…