Dodoma FM

Nishati

8 June 2025, 7:08 pm

RC Dkt Batilda azindua mnada wa ufuta Pangani

‘Sisi tuna uzoefu wa minada ya korosho hapa Tanga lakini baadae korosho zikawa zinatoroshwa kwenda nje ya mkoa wetu, ni kwa sababu tulifanya mnada mara moja haukuendelea.’ Na Cosmas Clement Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batilda Buriani leo…

2 June 2025, 12:26 pm

Acheni kufyatua matofali kiholela

Picha ya matofali yaliyofyatuliwa kwenye makazi ya watu. Picha na Samwel Mbugi “Hairuhusiwi kuchoma tofali katikati ya makazi ya watu” Na Samwel Mbugi Wananchi wanaojishughulisha na ufyatuaji tofali katika eneo la Mpanda hotel  wametakiwa kuzingatia utaratibu na sheria za mazingira …

5 March 2025, 17:51

Mhandisi Maryprisca akabidhi mabati bweni la wasichana Shizuvi

Naibu waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi atimiza Hadi yake kusaidia ujenzi wa Bweni Na Hobokela Lwinga Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi…

3 March 2025, 10:08

Wanawake Block D Ilomba watembelea gereza la Rwanda,Mbeya

Katika kuadhimisha kilele cha siku ya mwanamke Duniani wanawake mkoani Mbeya watumia nafasi hiyo kuwatembelea wahitaji mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Kuelekea siku ya mwanamke duniani Umoja wa kina mama mtaa wa Block D Ilomba wametembelea gereza la Ruanda upande wa…

25 February 2025, 6:17 pm

Maswa mbioni kuzalisha chaki zitakazouzwa nchi nzima

Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…

23 February 2025, 07:50

Baba adaiwa kutoweka na mtoto wake wa miezi Saba

Katika Hali isiyo ya kawaida Baba anadaiwa kutoroka na mtoto wa miezi Saba, kwa madai ya MKE ametoa mwimba kwa njia za kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Mariam Omary Said(21) mkazi wa Mabatini Jijini Mbeya anamtafuta mwanawe Muzdalifa Adamu Hinju jinsi…

4 February 2025, 09:45

TAKUKURU Geita yabaini udanganyifu miradi ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imebaini mapungufu makubwa kwenye miradi 4 yenye thaani ya shilingi bilioni 1 milioni 45 na laki 6 kati ya miradi 34 yenye thamani ya shilingi bilioni 16.6 iliyofanyiwa ufuatiliaji mkoani humo…

31 December 2024, 07:52

RC Homera awataka wazazi, walezi kuwalinda watoto

Watoto ni taifa la kesho kila mtu anawajibu wa kumlinda mtoto kwa namna yoyote na kuhakikisha anakuwa salama. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ameitaka jamii kuendelea kulinda na kuwathamini watoto iliwaweze kutimiza ndoto zao…

24 November 2024, 6:58 pm

Bunda DC yafanikiwa kupanda miti elfu 27

Salumu Mtelela amezielekeza taasisi zote za serikali kuachana na matumizi ya mkaa na kuni badala yake wahakikishe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na umeme. Na Adelinus Banenwa Katika kuendeleza kampeni ya Rais Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya…