Dodoma FM

Nafasi ya wanawake

23 February 2023, 3:19 pm

Alizeti yawanufaisha wakulima Dabalo

Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa zaidi katika zalishaji wa mafuta ya alizeti. Na FRED CHETI                  Upatikanaji  mzuri wa mbegu za alizeti katika kijiji cha Dabalo wilayani Chamwino umetajwa kuwa chachu kwa wakulima wengi ndani ya kijiji hicho…

10 February 2023, 4:52 pm

Wakulima walalamikia wafanyabiashara wa mchele Bahi

Wakulima wa mpunga wilayani Bahi mkoani Dodoma wamelalamikia wafanya biashara wanaofuata mchele na Mpunga unaozalishwa wilayani humo kwa kuupa majina ya mchele wa mikoa mingine wanapouuza katika masoko mbalimbali hapa nchini tatizo linalopelekea kutotambulika kabisa kwa mchele wa Bahi kwenye…

wakulima wakitazama mazao yaliyo shambuliwa.

30 January 2023, 9:02 am

Wakulima Kongwa kupambana na wadudu

Na; Mariam Kasawa. Wakulima katika wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua hatua mapema za kupambana na wadudu waharibifu wa mazao. Akiongea na taswira ya habari Afisa kilimo wilaya ya Kongwa Bwana Jackson shida anasema….. Pia Shija amewataka wakulima kuchukua…

22 January 2023, 10:04 am

KILIMO CHA MBAAZI

Na; Mariam Kasawa Licha ya zao la mbaazi kutumika kama matumizi mbalimbali kama mboga , chakula huku zao hili likifundishwa na wataalamu kuwa linaweza kuwa zao la biashara kwa kutengenezea vitu mbalimbali kama uji, supu, biscuti , cake, makande lakini…

19 December 2022, 8:35 am

Bahi watakiwa kulima mazao yanayo stahimili ukame

Na; Benard Filbert. Wakulima wa kata ya Bahi wilaya ya Bahi mkoani  Dodoma wameshauriwa kupanda mazao ambayo yanahitaji mvua kidogo ili kukabiliana na  mabadiliko ya hali ya hewa. Ushauri huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo  Agustino Mdunuu wakati akizungumza…

16 November 2022, 12:28 pm

Zaidi ya billioni 474 zinatumika kuagiza mafuta nje ya Nchi

Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa iwapo mkakati wa kukuza na kuongeza uzalishaji katika zao la alizeti ukifanikiwa,serikali itafanikiwa kuokoa fedha nyingi ambazo zinatumika kuagiza mafuta ya kula nje ya Nchi . Akizungumza katika mahojiano maalumu na Dodoma fm naibu waziri…

27 October 2022, 10:21 am

Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija

Na; Benard Filbert. Wakulima  wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…

20 October 2022, 11:59 am

Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu

Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…

18 October 2022, 6:55 am

Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni

Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…

5 May 2022, 2:00 pm

Wananchi watakiwa kutambua umuhimu wa Mbaazi

Na; Leonard Mwacha. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa zao la mbaazi kuwa lina manufaa makubwa katika matumizi mbalimbali pamoja na biashara. Wito huo umetolewa na, Mkurugenzi wa  wa asasi siyokuwa ya serikali SEIDA Bw. Fredrick Ogenga, kupitia warsha…