Nafasi ya wanawake
11 May 2023, 5:50 pm
Serikali kushirikiana na sekta binafsi kuendeleza sekta ya kilimo
Feed the Future inasaidia Nchi katika kuendeleza sekta za kilimo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na biashara ambayo huongeza mapato na kupunguza njaa umaskini na utapiamlo. Na Mindi Joseph. Serikali kwa Kushirikiana na Sekta Binafsi imejipanga kuendeleza sekta ya kilimo…
9 May 2023, 4:51 pm
Uvunaji hafifu wa mahindi wapelekea tishio la njaa kwa baadhi ya familia
Mkoa wa Dodoma ulijiwekea malengo ya kulima hekta 7 za chakula lakini mvua hazikunyesha kama ilivyotarajiwa hivyo kuathiri upatikanaji wa chakula kama ilivyotarajiwa kuilazimu Serikali kutoa mahindi ya bei nafuu jumla ya tani 12,747.15. Na Mindi Joseph. Uvunaji Hafifu wa…
1 May 2023, 4:53 pm
Wakulima wa Alizeti walalamika uzalishaji hafifu
Katika mwaka 2019/2020 uzalishaji wa alizeti nchini umefikia tani 649,437 ikilinganishwa na tani 561,297 kwa mwaka 2018/2019. Na Mindi Joseph. Wakati Mkoa wa Dodoma ukitegemewa zaidi katika uzalishaji wa mafuta ya alizeti wakulima wamesema mwaka huu uzalishaji wao ni hafifu.…
1 May 2023, 1:08 pm
Watanzania wahimizwa kutumia mbolea isiyo zeesha ardhi
Mbolea inayo zalishwa katika kiwanda hiki cha Intracom kinachopatikana katika kata ya Nala jijini Dodoma inatengenezwa kwa samadi za wanyama na haizeesha ardhi. Na Fred Cheti Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh. Jabair Shekimweri amewataka wakazi wa Dodoma na watanzania…
28 April 2023, 3:11 pm
Zaidi ya hekari 6000 zatengwa kwaajili ya blockfarm Kongwa
Mkuu wa wialaya amewaomba madiwani kuwahimiza wananchi kuhusu suala la uhifadhi wa chakula hususani katika kipindi hiki Cha mavuno Kwani wengi wao wamekuwa wakiuza mazao Kwa kasi badala ya kuhifadhi kwaajili ya msimu ujao. Insert 2 sec 00:34 NA Bernadetha…
27 April 2023, 6:54 pm
Wakulima Kongogo waahidiwa mashine za kisasa
Na Mindi Joseph. Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo amewaahidi wakulima wa Kongogo kuwanunulia mashine za kisasa za kupandia mpunga pindi tu ujenzi wa skimu ya umwagiliaji utakapokamilika 2024. Akizungumza na Wakulima hao amesema wilaya ya bahi imekuwa ikizalisha…
26 April 2023, 3:54 pm
Wakulima wa zabibu waomba elimu ya kuongeza thamani zao hilo
Zabibu huzalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo Mvinyo, Sharbati, jamu pamoja na nyingine nyingi lakini elimu ya kuongeza thamani zao hili bado ni ndogo sana kwa wakulima. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu…
25 April 2023, 6:07 pm
Tume ya Taifa ya umwagiliaji kukarabati skimu za umwagiliaji
Mwezi wa tano Tume ya taifa ya umwagiliaji inatarajia kutia saini mikataba 8 yenye zaidi ya thamani ya zaidi ya shilingi Bilion 59. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya umwagiliaji leo imetia saini mikataba 4 ya ujenzi na ukarabati…
24 April 2023, 4:04 pm
Wananchi watakiwa kutambua kilimo cha umwagiliaji ni cha uhakika
Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyo na hali ya ukame na Hupata wastani hali inayopelekea kulima mazao yanayostahili ukame kama vile uwele, mtama, mahindi, karanga, alizeti, ufuta na zabibu. Na Mindi Joseph. Wananchi Kata ya Babayu wamehimizwa kujikita katika kilimo…
14 April 2023, 4:05 pm
Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo
Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…