Dodoma FM
Dodoma FM
3 October 2025, 12:19 pm
Na Dorcas Charles-Kurunzi Maalum Idadi ndogo ya vijana wa kike kutoka jamii za kifugaji katika Wilaya ya Simanjiro wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi inazua maswali mengi juu ya ushiriki wa wanawake vijana katika siasa. Hali hii inajiri wakati nchi ikiendelea…
2 October 2025, 4:23 pm
Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika Kibaigwa vitasa mitano tena. Picha na Hamis Makila. Kwa mujibu wa mratibu, mabondia mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya mkoa wa Dodoma na nje yake wamethibitisha kushiriki. Na Hamis Makila. Kuelekea pambano la ngumi…
1 October 2025, 5:40 pm
Ligi hiyo ambayo hufanyika kila mwaka inalenga kuinua vipaji vya wachezaji chipukizi pamoja na kuongeza hamasa ya michezo katika jamii ya Dodoma. Picha na Hamis Makila. Hadi hivi sasa imechezwa michezo miwili na ligi inatajaria kuendelea Oktoba 04 na 05.…
1 October 2025, 4:28 pm
Na Isack Dickson Uchaguzi Mkuu mara zote umekuwa ni moyo wa demokrasia ya Tanzania. Lakini historia imeonyesha kuwa moyo huo mara nyingi unakumbwa na changamoto kubwa—rushwa ya uchaguzi. Inaanzia ndani ya vyama vya siasa, ambako kura za maoni mara nyingi…
1 October 2025, 4:10 pm
Na Dorcas Charles Kila Septemba 28, dunia huadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duniani ili kutoa elimu juu ya madhara ya ugonjwa huu na namna unavyoweza kuzuilika. Afisa Mifugo wa Kata ya Terrat, Petro Mejooli Lukumay, amesema chanjo ya mbwa…
30 September 2025, 2:25 pm
Afisa kilimo kata ya Makanyagio Philemon Tesha. Picha na Anna Mhina “Mimi nachukulia kilimo ni ile hatua ya mwisho ya kijana aliyefeli maisha” Na Anna Mhina Wakulima mkoani Katavi wametakiwa kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake wajikite kulima…
24 September 2025, 6:22 pm
Maadhimisho ya wiki ya kichaa cha mbwa yanatarajiwa kufanyika 28 Septemba 2025 katika kijiji cha Ruhembe ambapo yamebebwa na kauli mbiu isemayo “Chukua hatua sasa,Wewe, mimi, Jamii”. Na Beatrice Majaliwa Kuelekea katika Wiki ya Kichaa Cha Mbwa inayotarajiwa kuadhimishwa tarehe…
22 September 2025, 12:23
Wafugaji na wakulima wameomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuendeleaa kuwapa mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha Na Tryphone Odace Benki ya Kilimo Tanzania TADB imesema inaendelea kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kuwawezesha…
September 17, 2025, 11:29 am
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia ya kuzichungulia fursa mbalimbali kwa kutazama changamoto zilizopo katika jamii. Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia…
30 August 2025, 12:40 pm
Mwandishi. Edward Lucas. Masunga Mahala Mihayo (62), mkazi wa mtaa wa Ichamo, kata ya Kunzugu, Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na tembo katika maeneo ya kando ya Mto Rubana, ambako alikuwa akienda mara…