Dodoma FM
Dodoma FM
16 September 2025, 2:27 pm
Serikali iliweka ahadi ya kuchimba kisima sambamba na ujenzi wa bwawa ambalo litawanufaisha wakazi wa eneo hilo Kwa kilimo cha umwagiliaji lakini bado haijateleza ahadi hiyo hadi leo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji cha Ndogowe Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma…
27 August 2025, 11:23 pm
Maswa imekuwa nyuma kimaendeleo kuna mambo hayako sawa ikiwemo suala la changamoto ya zao la pamba ambalo ndio zao kuu la biashara kwa mkoa wetu wa Simiyu lakini inashangaza Bei inaendelea Kushuka kila msimu na wakulima kukopwa pamba yao hivyo…
24 August 2025, 12:21 am
Na Mary Julius. Afisa Elimu Mkoa wa Mjini Magharibi, Mohamed Abdalla Mohamed, amewataka vijana waliohitimu kidato cha sita Skuli ya Kiponda kuendeleza juhudi zao za kujisomea ili kufanikisha ndoto zao na kuliletea taifa maendeleo. Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi…
August 20, 2025, 7:52 pm
Maringo Ndolela aliekaa kulia na Felix Lukonge Sola wawakilishi wa koo za kabila la wajita wakizungumza na Bunda FM kwenye kipindi cha Busati la Habari kinachoruka Jumatatu hadi Ijumaa. Picha na Amos Marwa ”Nawakaribisha Wajita wote na makabila mengine kutoka mkoa…
29 July 2025, 7:22 pm
Tamasha la vijana Kizimkazi linatarajiwa kuwakutanisha vijana wasiopunguwa 450 pamoja na watalam wa masuala ya uchumi, biashara, fedha na nishati kupitia mabaraza ya vijana Zanzibar. Na Mary Julius. Chama cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema utafiti waliofanya wamegundua kuna miradi mingi…
24 July 2025, 1:12 pm
Na Mary Julius. Afisa Elimu kwa Umma kutoka Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA), Sada Salum Issa, amezitaka taasisi za umma na binafsi kushirikiana na mamlaka hiyo kwa kutoa taarifa pale wanapobaini viashiria vya rushwa au…
22 July 2025, 8:40 pm
“Mhe mkuu wa wilaya kila mwaka chama kinatekeleza msingi wa saba wa ushirika kwa kuendelea kuijali jamii,na mwaka huu Mh mkuu wa wilaya tumetembelea shule hii ya msingi Ngare Mji na tunatoa madawati ambayo thamani yake ni shilingi milioni 4…
21 July 2025, 6:54 pm
Kupitia mradi wa BOOST shule mbalimbali za msingi katika wilaya ya Hai zinategemea kunufaika katika ujenzi. Na Elizabeth Noel Hai-Kilimanjaro Wananchi wa Kata za Masama Rundugai na Machame Mashariki wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya BOOST iliyotambulishwa na…
4 July 2025, 4:46 pm
Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa kuwafanyia uchunguzi wa afya watoto ili kuweza kugundua tatizo na kupatiwa matibabu mapema. Na Mary Julius. Jamii nchini imeshauriwa kujiwekea utaratibu wa kuwapeleka watoto wao katika vituo vya afya ili kufanyiwa uchunguzi wa maradhi mbali…
28 June 2025, 12:56 pm
Makala hii inazungumzia wanaume wamekua wakifanyiwa matendo ya ukatili wa kijinsi na kushindwa kuripoti kwa kuona aibu.