Maji
22 July 2021, 3:35 pm
RUWASA yatatua kero ya maji Masinyeti iliyo dumu kwa miaka ishirini
Na; Benard Filbert. Wakala wa maji vijijini RUWASA katika wilaya ya Kongwa wamefanikiwa kuchimba kisima cha maji katika kijiji cha masinyeti ambacho kitasaidia kuondoa changamoto ambazo wakazi hao walikuwa wakikutana nazo ikiwepo kutembea umbali mrefu kufuata maji. Hayo yameelezwa na…
20 July 2021, 12:20 pm
Wakazi wa Masinyeti waishukuru Dodoma fm kwa kuwasaidia kutatuliwa kero ya maji
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji cha Masinyeti kata ya Iduo wilayani Kongwa wameishukuru Dodoma redio kwa juhudi kubwa waliofanya ya kuripoti changamoto ya adha ya maji katika eneo hilo na hatimaye kuchimbiwa kisima cha maji na Wakala ya Usambazaji…
15 July 2021, 11:53 am
Wakazi wa Chiwondo walazimika kutembea kilomita 6 kutafuta maji
Na; Benard Filbert. Changamoto ya ukosefu wa maji katika kijiji Cha Chiwondo Kata Ya Dabalo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma imetajwa kuwa kikwazo cha maendeleo kwa wakazi hao kutokana na kutembea zaidi ya kilomita 6 kutafuta huduma hiyo. Wananchi hao wameiambia…
8 July 2021, 12:07 pm
Watumishi wa wizara ya maji wametakiwa kutekeleza miradi ya maji ipasavyo
Na; Yusuph Hans. Watumishi katika wizara ya maji wametakiwa kuhakikisha wanakuwa na nidhani katika matumizi ya fedha na kutekeleza miradi ya maji ipasavyo kwa maslahi ya wananchi na Taifa kwa ujmla. Hayo yamebainishwa leo Jijini Dodoma na Waziri wa maji…
6 July 2021, 11:49 am
Wakazi Mkutani walazimika kutembea kilomita sita kutafuta maji
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji cha Mkutani Kata ya Hogoro Wilayani Kongwa wanakabiliwa na changamoto ya huduma ya maji safi na salama hali ambayo imekuwa ikiwalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati wakizungumza…
2 July 2021, 11:53 am
Wakazi wa Miganga walalamikia kukatika kwa maji mara kwa mara
Na; Benard Filbert. Kukatika kwa maji kila mara katika mtaa wa miganga kata ya Mkonze mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa mtaa huo hali inayowalazimu kutumia maji ya visima ambayo sio salama kiafya. Hayo yameelezwa na wakazi wa…
1 July 2021, 6:20 am
Uhaba wa maji wapelekea wakazi wa Lugala kushea vyanzo vya maji na wanyama
Na; Benard Filbert. Afya za Wakazi wa Mtaa wa Lugala jijini Dodoma zipo hatarini kutokana na kutumia vyanzo vya maji pamoja na wanyama. Uhaba wa upatikanaji wa huduma ya maji katika mtaa huo ndio imepelekea wakazi hao kufanya hivyo.Wakizungumza na…
29 June 2021, 11:21 am
Ukosefu wa maji safi na salama waathiri uchumi wa kijiji cha Asanje
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa huduma ya maji safi na salama katika kijiji cha Asanje wilayani bahi imetajwa kuathiri shughuli za kiuchumi kwa wakazi wa kijiji hicho. Hayo yameelezwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari…
26 May 2021, 12:45 pm
Maji safi na salama changamoto kata ya mkonze
Na; Mindi Joseph Wakazi wa mtaa wa Zinje Kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwapelekea maji safi na salama ili kuokoa afya zao kutokana na kutumia maji wanayochimba kwenye korongo ambayo si safi na salama. Taswira ya habari imezungumza…
25 May 2021, 11:57 am
Kigwe waililia serikali maji safi na salama
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe Wilaya ya Bahi wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwatatulia changamoto ya uhaba wa maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kwa muda…