Dodoma FM

Maji

26 May 2021, 12:45 pm

Maji safi na salama changamoto kata ya mkonze

Na; Mindi Joseph Wakazi wa  mtaa wa Zinje Kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwapelekea maji safi na salama ili kuokoa afya zao kutokana na kutumia maji wanayochimba kwenye korongo ambayo si safi na salama. Taswira ya habari imezungumza…

25 May 2021, 11:57 am

Kigwe waililia serikali maji safi na salama

Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe Wilaya ya Bahi wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwatatulia changamoto ya uhaba wa maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kwa muda…