Dodoma FM

Maji

25 February 2021, 6:46 am

Mvua zakwamisha ukarabati miundombinu ya maji

Na,Benard Philbert, Dodoma. Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimetajwa kuwa kikwazo cha kutokukamilika kwa marekebisho ya miundombinu ya maji katika mtaa wa Mahomanyika jijini Dodoma. Miezi mitatu iliyopita baadhi ya wakazi wa mtaa huo walinukuliwa wakilalamika ukosefuwa huduma ya maji kutokana…

4 February 2021, 12:31 pm

Milioni 255 zatengwa kumaliza tatizo la maji Mazae

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Wakati Vijiji vya Idilo na Kisokwe Wilayani Mpwapwa vinakabiliwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu Serikali kupitia mamlaka ya maji Vijijini Ruwasa imetenga Shilingi Milioni 255 ili kutatua adha hiyo kwa wananchi.Taswira ya habari imefika katika…