Maji
18 May 2021, 1:08 pm
Changamoto ya maji safi na salama kata ya Ipagala yapata ufumbuzi
Na; Shani Nicolous Baadhi ya wanawake katika Mtaa wa Swaswa Mnarani , Kata ya Ipagala jijini Dodoma wamechanga fedha kwa ajili ya kuchimba kisima ili kukabiliana na changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma fm wanawake hao…
12 May 2021, 10:12 am
Waziri mkuu azindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji
Na; Mindi Joseph waziri mkuu kasimu majaliwa amezindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji ili kupunguza changamoto ya maji nchini. Akizungumza baada ya kuzindua mwongozo huo Kwenye kikao cha watendaji wa sekta ya maji nchini LEO jijini…
25 February 2021, 6:46 am
Mvua zakwamisha ukarabati miundombinu ya maji
Na,Benard Philbert, Dodoma. Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimetajwa kuwa kikwazo cha kutokukamilika kwa marekebisho ya miundombinu ya maji katika mtaa wa Mahomanyika jijini Dodoma. Miezi mitatu iliyopita baadhi ya wakazi wa mtaa huo walinukuliwa wakilalamika ukosefuwa huduma ya maji kutokana…
4 February 2021, 12:31 pm
Milioni 255 zatengwa kumaliza tatizo la maji Mazae
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Wakati Vijiji vya Idilo na Kisokwe Wilayani Mpwapwa vinakabiliwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu Serikali kupitia mamlaka ya maji Vijijini Ruwasa imetenga Shilingi Milioni 255 ili kutatua adha hiyo kwa wananchi.Taswira ya habari imefika katika…
21 December 2020, 2:47 pm
Waziri wa Maji afanya ziara ya kushtukiza kukagua uchimbaji visima
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…