Dodoma FM

Maji

19 October 2021, 11:32 am

Wakazi wa Mkoka walalamika kuendelea kukosa huduma ya maji

Na; Selemani Kodima. Licha ya kuchimbiwa visima vya maji ,Bado wananchi wa kijiji cha mkoka wilayani kongwa wamelalamika kuendelea kupata changamoto ya maji baridi. Akizungumza kwa Niaba ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka Mwenyekiti wa kijiji cha Mkoka Bw Elia…

28 September 2021, 1:18 pm

Nzinje waipongeza serikali kwa kutatua changamoto za maji

Na; Shani Nicolous. Mwenyekiti wa mtaa wa Nzinje Bw .Godfrey Daud Samweli amepongeza juhudi mbalimbali za serikai zinazofanyika kutatua changamoto za mtaa huo. Akizungumza na Taswira ya habari mwenyekiti huyo amesema kuwa kuna shughuli zinaendelea katika mtaa huo kama kusafisha…

10 August 2021, 11:56 am

Wakazi wa Mkanana walalamikia kukosa maji safi na salama

Na; Selemani Kodima. Licha ya uwepo wa chemchem za maji katika kijiji cha Mkanana bado Changamoto ya Maji imeendelea kuwa kilio kwa wakazi wa eneo hilo hali ambayo msimu wa kiangazi inakuwa mara dufu. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Taswira…