Maji
19 October 2021, 11:32 am
Wakazi wa Mkoka walalamika kuendelea kukosa huduma ya maji
Na; Selemani Kodima. Licha ya kuchimbiwa visima vya maji ,Bado wananchi wa kijiji cha mkoka wilayani kongwa wamelalamika kuendelea kupata changamoto ya maji baridi. Akizungumza kwa Niaba ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka Mwenyekiti wa kijiji cha Mkoka Bw Elia…
7 October 2021, 12:31 pm
Kata ya Mtanana yahitaji huduma ya maji katika kijiji chake cha Soiti
Na ;Benard Filbert. Licha ya uwepo wa Vijiji vitano katika Kata ya Mtanana Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imeelezwa bado kijiji kimoja kinakabiliwa na ukosefu wa mradi wa maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata…
5 October 2021, 11:31 am
Uhaba wa maji wasababisha migogoro ya ndoa katika kijiji cha Mpakani
Na ;Victor Chigwada. Huduma hafifu ya upatikanaji wa maji safi na salama umekuwa changamoto kwa Wananchi wa kitongoji cha Mpakani Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa hali inayosababisha migogoro ya ndoa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari…
28 September 2021, 1:18 pm
Nzinje waipongeza serikali kwa kutatua changamoto za maji
Na; Shani Nicolous. Mwenyekiti wa mtaa wa Nzinje Bw .Godfrey Daud Samweli amepongeza juhudi mbalimbali za serikai zinazofanyika kutatua changamoto za mtaa huo. Akizungumza na Taswira ya habari mwenyekiti huyo amesema kuwa kuna shughuli zinaendelea katika mtaa huo kama kusafisha…
17 September 2021, 1:44 pm
Ongezeko la watu wilayani Bahi lapelekea uhita wa maji zaidi
Na; Benard Filbert. Licha ya mji wa Bahi Mkoani Dodoma kupokea fedha kiasi cha shilingi million 120 kwa ajili ya kuchimba kisima kipya ili kuongeza upatikanaji wa maji bado juhudi zinahitajika kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo. Hayo…
16 September 2021, 12:45 pm
Uhaba wa maji katika kata ya Msanga wapelekea wananchi kununua maji kwa bei kubw…
Na ;Victor Chigwada. Changamoto ya uhaba wa maji katika Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umeendelea kuwa kilio kikubwa kwa wananchi na kusababisha maji kununuliwa kwa bei kubwa. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Msanga wameiomba Serikali kuwasaidia kupata…
3 September 2021, 12:32 pm
Wakazi wa Mloda watatuliwa kero ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mloda Wilayani Chamwino umesema maisha ya wakazi wa kijiji hicho yameanza kubadilika baada ya kutatuliwa changamoto ya kisima cha maji ambayo imewatesa kwa muda mrefu. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Kijiji…
27 August 2021, 1:37 pm
Kata ya Izava yasema ipo katika hatua za kutafuta ufumbuzi wa kisima kilicho har…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Izava Kata ya Izava Wilayani Chamwino umesema upo katika mkakati wa kutafutia ufumbuzi suala la ukarabati wa kisima cha maji ili kuwaondolewa wananchi changamoto ya huduma hiyo. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti…
17 August 2021, 10:51 am
Uongozi wa Chamwino watarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya maji kijijini…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umesema unatambua uwepo wa changamoto ya maji katika kijiji cha Mgunga hivyo wanampango wa kufanya maboresho katika mtandao wa bomba za maji ili kufanikisha upatikanaji wa huduma hiyo Akizungumza na…
10 August 2021, 11:56 am
Wakazi wa Mkanana walalamikia kukosa maji safi na salama
Na; Selemani Kodima. Licha ya uwepo wa chemchem za maji katika kijiji cha Mkanana bado Changamoto ya Maji imeendelea kuwa kilio kwa wakazi wa eneo hilo hali ambayo msimu wa kiangazi inakuwa mara dufu. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Taswira…