Dodoma FM
Dodoma FM
19 September 2025, 1:16 pm
Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Zanzibar (BPRA) umeeleza kuwa moja ya malengo yake makubwa ni kujitambulisha kwa wananchi na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa kusajili biashara na mali rasmi visiwani. Na Miraji Manzi Kae Akizungumza na Kituo cha…
September 17, 2025, 11:05 am
kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Nyasa Mh perres Magili Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mh. Perresi Magiri amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya mgombea nafasi ya Urais Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea mwenza…
11 September 2025, 4:34 pm
Wanachama 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo ya siku mbili ya kuchagua, kupanga na kusimamia biashara, chini ya Programu ya Mashirikiano ya Pamoja kwa ajili ya Haki za Watu wenye Ulemavu…
11 September 2025, 2:00 pm
Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa Serikali inajiandaa kuanzisha huduma ya treni za kisasa zinazotumia njia za magari, hatua itakayokuwa ya kihistoria katika kuboresha mfumo wa usafiri wa ndani…
4 September 2025, 12:37
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS limeendelea kuwa kivutio baada ya kuongezwa zao jipya la utalii. Na Samwel Mpogole Katika hali isiyozoeleka lakini yenye mvuto wa kipekee, wananchi na wageni wamefurahishwa na…
30 August 2025, 2:58 pm
Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaeleza wanabunda kuwa sera za mgombea urais Dkt.Samia zinalenga kuwaletea maendeleo wananchi na kuboresha kwa kiwango kikubwa. Na Catherine Msafiri. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM na mgombea mwenza wa urais kupitia chama hicho Dkt.Emmanuel Mchimbi…
August 28, 2025, 5:00 pm
”Vijana tunaweza kuleta mabadiliko makubwa kupitia siasa nakusihi kijana mwenzangu usiogope usikate tamaa siasa sio lazima uwe na pesa kama wengi mnavodhani ni kujitoa na kujiamini” Lucas Daniel Marco maarufu kama Three Boys, kijana mwanasiasa na mgombea udiwani kata ya…
24 August 2025, 11:29 pm
“Kwa sasa hivi mimi ni mali ya chama sio tena mtu binafsi, kwahiyo taratibu zote….” Mwandishi. Edward Lucas Siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), tarehe 23 Agosti 2025, kutangaza rasmi majina ya wagombea ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa…
August 23, 2025, 3:17 pm
DC Bulimba amewapongeza kwa kuhitimu kwa nidhamu, umakini na utayari, akiwataka wakawe mfano bora kwa jamii na kutumia mafunzo waliyopata kwa kuhudumia wananchi na kulinda usalama wa jamii. Na William Mpanju- Biharamulo, Kagera Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, SACP Advera…
August 19, 2025, 12:26 pm
”watembea kwa miguu zingatieni upande wao sahihi wa kupita, kwa mjibu wa sheria za usalama barabarani ni mkono wa kulia wa mtumiaji ili kutoa nafasi ya kuona chombo cha moto kilichombele yake” Na John Juma Watumiaji wa barabara katika Halmashauri…