elimu
3 May 2021, 7:05 am
90,025 kuanza mitihani kidato cha sita
Na; James Justine KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Charles Msonde amesema, takribani wanafunzi 90,025 wameanza kufanya mtihani wa Kidato cha Sita kuanzia leo Jumatatu tarehe 3 hadi 25 Mei 2021. Dk. Msonde ametoa taarifa hiyo…
29 April 2021, 5:42 am
Miundombinu hafifu sera ya Elimu 2014
Na; Mariam Matundu. Wakati taasisi ya haki elimu ikitarajia kuzindua ripoti ya uchambuzi wa kina wa sera ya elimu leo April 29 ,miundombinu hafifu imetajwa kuwa kikwazo katika utekelezaji wa sera ya elimu ya mwaka 2014. Mwandishi wetu Mariam Matundu…
22 April 2021, 12:19 pm
Wazazi waiomba Serikali na Taasisi za Elimu kutilia mkazo somo la stadi za kazi…
Na ; Mariam Kasawa Wazazi jijini Dodoma wametoa wito kwa Serikali na taasisi za elimu nchini kutilia mkazo ufundishwaji wa masomo ya stadi za kazi na maisha ili kuwafanya wanafunzi kuwa na haiba nzuri pamoja uwezo wa kufanya kazi pindi…
20 April 2021, 12:18 pm
Sekondari ya Wotta kutatuliwa kero ya madawati
Na; Selemani Kodima Changamoto ya upungufu wa madawati katika shule ya Sekondari Wotta Wilayani Mpwapwa huenda ikapatiwa ufumbuzi baada ya kupatikana fedha za mfuko wa jimbo kiasi cha shilingi milioni moja na elfu thelathini na mbili. Baadhi ya wananachi wakizungumza…
15 April 2021, 1:55 pm
Serikali yatatua changamoto ya madarasa Membe
Na; Benard Filbert. Serikali katika Kata ya Membe Wilayani Chamwino imetatua changamoto ya madarasa iliyokuwa ikikwamisha wanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza 2021 kwa kujenga vyumba vya madarasa. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata ya Membe Bw.Simon Petro wakati akizungumza…
15 April 2021, 5:43 am
Je ni sahihi wasichana walio chini ya umri wa miaka 18 kutumia uzazi wa mpango?
Na; Zania Miraji Karibu katika makala ya Amua inayokujia kila siku ya jumapili. tumezungumza na wadau mbalimbali ikiwa ni sahihi wasichana walio na umri mdogo kutumia njia za uzazi wa mpango ambapo wengi wameshauri kuwa ni vyema wakafundishwa elimu ya…
12 April 2021, 11:33 am
Wasichana wahimizwa kutambua umuhimu wa masomo ya Sayansi
Na; Yussuph Hans Licha ya uhaba wa Wanafunzi wa Kike kusoma Masomo ya Sayansi Nchini, bado kuna changamoto mbalimbali zinazowakabili baada ya kuhitimu Masomo hayo. Hayo yamebainishwa na Afisa Mpango Ujenzi wa Nguvu za pamoja na harakati kutoka Mtandao wa…
9 April 2021, 8:37 am
Nkonko wakomesha mimba shuleni, kwa kujenga bweni
Na; Seleman Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Nkonko kilichopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida umefanikiwa kujenga bweni la wasichana katika Secondari ya Kijiji hicho ili kupunguza tatizo la mimba shuleni. Hayo yamesemwa na Diwani wa Kata ya Nkonko Bw.Ezekiel Samwel ambapo…
7 April 2021, 9:03 am
Nagulo Bahi wanafunzi kuanza masomo rasmi
Na ; Suleiman Kodima. Wananchi wa kijiji cha Nagulo Bahi kata ya Bahi wameupongeza Uongozi wa kata hiyo kwa hatua ya kukamilisha Ujenzi wa Sekondari na hatimaye wanafunzi kuanza Masomo Rasmi. Wakizungumza na Taswira ya Habari wananchi hao wamesema kuwa…
9 March 2021, 8:32 am
Zaidi ya trilion 1 zawekezwa sekta ya elimu nchini
Na, Yussuph Hans, Dodoma. Imeelezwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.291 zimewekezwa katika mpango wa elimu bure, ambapo matokeo yake yameonekana kwa kuongezeka kwa idadi kubwa ya wanafunzi Shuleni pamoja na Ufaulu. Hayo yamebainishwa na msemaji mkuu wa Serikali na…