Dodoma FM
Dodoma FM
16 May 2025, 15:49
Wakulima wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuweka akiba ya chakula ili kukabiliana na njaa. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya kasulu kanali Isaac Mwakisu amewaagiza Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kutoa…
9 May 2025, 12:54
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…
4 May 2025, 9:29 pm
Ukanda huu wa Wilaya za Maswa na Meatu unachangamoto ya kuwa na Maji ya Chumvi hivyo nitatuma wataalamu waje kufanya utafiti wa namna ya kupata maji Mazuri maana kwa sasa Wizara ya Maji ina Mitambo ya kisasa “Dkt George Lugomela…
30 April 2025, 9:08 am
Niwaagize wakandarasi wanaotekeleza Miradi ya Maji katika Wilaya hii waongeze Kasi ili Wananchi wapate huduma ya Maji kama Serikali ilivyokusudia kusogeza huduma karibu na Wananchi Pia nitoe Onyo kwa Wananchi wanaoharibu Miundombinu ya Maji waache mara moja kwani tutawakamata na…
24 April 2025, 6:47 pm
Serikali kupitia idara ya afya mkoani Kagera imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria licha ya baadhi ya wilaya kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi Theophilida Felician. Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa mkoa wa Kagera kimepungua kutoka 34.9%…
18 April 2025, 4:43 pm
“Mama mzazi wa marehemu amepoteza maisha baada ya kupata mshtuko kutokana na taarifa ya kifo cha binti yake” – Mwenyekiti Na: Edga Rwenduru: Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Lesine Chongela, mkazi wa kijiji cha Bugogo kilichopo Kata ya Bukoli,…
16 April 2025, 3:23 pm
“Tuna kila sababu ya kuupongeza uongozi wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa nanma ambayo umeweza kutekeleza dhana ya kumtua mama ndoo kichwani kwa vitendo na siyo kwa maneno leo hii maji safi na salama…
16 April 2025, 3:00 pm
Jeshi la polisi katika mkakati wa kukabiliana na changamoto ya vitedo vya ukatili kwa watoto Mkoani Geita Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza oparesheni ya kuwakamata watoto wanaozurura mitaani nyakati za usiku na kuwawajibisha wazazi wao…
11 April 2025, 17:28
Wasariamali na wafanyabiashara wadogo wamepewa mafunzo yanayolenga kuwainua kiuchumi Na Michael Mpunije Wasimamizi wa taasisi za kifedha wametakiwa kushirikiana na wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati katika kuandaa mpango wa Biashara ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi. Hayo yamejiri…
9 April 2025, 3:41 pm
“Bado tunakila sababu kwa mamlaka husika kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya kujenga kwenye mikondo ya maji maana kila kiongozi yakitokea maafa kama ya mafuriko tunaanza kuwaambia wananchi madhara ya kujenga bondeni Je? Kipindi wanaanza ujenzi mamlaka…