Dodoma FM
Dodoma FM
October 16, 2025, 8:02 am
Kwa ajili ya watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) Na Ezekiel Mwinuka Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU nchini Crispin Chalamila amekabidhi vifaa hivyo leo na kwamba vimenunuliwa kwa michango ya watumishi nchini wa Takukuru nchini kwa lengo la kuunga juhudi…
21 June 2024, 5:58 pm
Sheria inamuhitaji kila mfanya biashara ajirasimishe kwasababu ukirasimisha biashara yako unapata faida nyingi ikiwa pamoja na kupata tenda mbali mbali za serikali na sekta binafsi. Mindi Joseph.wajasiriamali na wafanyabiashara nchini wametakiwa kusajili na kurasimisha majina na alama za biashara ili…
12 February 2024, 3:24 pm
Wakala wa usajili wa biashara na leseni Tanzania (BRELA) na Tume ya ushindani Tanzania (FCC)zimekutana na kamati ya kudumu ya Bunge ya viwanda ,Biashara ,kilimo na Mifugo kutoa semina ya nana taasisi hizo zinatekeleza majukumu yao na kuleta mchango katika…
23 January 2024, 12:59 pm
Wagonjwa mbalimbali kutoka hospitali maalum ya taifa ya magonjwa ambukizi kibon’goto waridhishwa na huduma. Na Elizabeth Mafie Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali maalumu ya Taifa ya magonjwa ambukizi Kibong’oto iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimnjaro Dkt Leornad Subi amesema hospitali hiyo itaendelea…
18 September 2023, 19:47
Kufanya kazi kwa weledi ni sehemu ya binadamu anayejitambua na kutambua nafasi yake na ukitaka kupongezwa ni lazima uoneshe weledi wa kazi yako, ishi ukijua maisha yako yanategemea maisha ya mwingine. Na Mwandishi wetu Mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade…
24 March 2023, 4:19 pm
Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…
10 February 2023, 1:45 pm
Waziri wa Nishati na Madini Januari Makamba mwaka jana dec 25 alisema kuwa Wizara inaanza program ya kupeleka umeme kwenye vitongoji. Kwani tayari serikali imefikia asilimia 75 katika kufikisha umeme vijijini Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ongezeko la watu…
8 February 2023, 7:08 pm
Ikiwa ni wiki la tatu tangu kituo cha Dodoma Fm kuripoti kuhusiana na adha ya kukosekana kwa huduma ya nishati ya Mafuta ya Petrol na Diesel kwa zaidi ya miezi mitatu katika kituo cha Princes Muro kituo pekee kinachotoa huduma…