Dodoma FM

EWURA

9 October 2023, 9:27 am

Vijana watakiwa kutambua umuhimu wa sekta ya kilimo

Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania AMDT Leo imewakutanisha Wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma, wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali na vijana katika Mdahalo wa kuibua changamoto zinazowakabili vijana ili kupata majibu sahihi. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa…

12 September 2023, 3:02 pm

Vijana watakiwa kuacha tabia ya kutazama picha za utupu

Kwa mujibu wa mwanasaikolojia huyo anasema kuwa zipo athari mbalimbali ambazo zinaweza kusababishwa na suala hilo ambapo wanashauri jamii hususani vijana kuachana na tabia hiyo. Na Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa Wananchi hususani vijana kuepukana na tabia ya kuangalia picha…

16 August 2023, 7:00 pm

Vijana Nchini watakiwa kuwa na uthubutu

kwa mujibu wa vijana haoa wanasema kuwa kupitia mjadala huo uliofanyika katika ukumbi wa kambarage uliopo katika jengo la  hazina Jijini dodoma umetoa funzo juu ya masuala mbalimbali ikiwemo masula ya uongozi na Demokrasia nchini. Na Thadei Tesha. Vijana nchini…

7 August 2023, 5:29 pm

Vijana waomba utaratibu mzuri upatikanaji wa fursa

Tarehe 12 Agost ni maadhimisho ya siku ya vijana duniani ambapo pia huadhimishwa kwa kufanya makongamano mbalimbali yenye lengo la kujadili fursa na changamoto zinazowakabili vijana katika maeneo yao. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini Dodoma wameiomba serikali kuweka…

3 August 2023, 2:08 pm

Vijana watakiwa kujikita katika utunzaji mazingira

Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa vijana kushiriki katika utunzaji wa mazingira ikiwemo kushiriki katika kampeni mbalimbali za upandaji miti ili kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Maendeleo ya vijana Mkoa…

2 August 2023, 4:27 pm

Kongamano la maendeleo ya vijana kuanza Agosti 3

Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili tarehe 3 na 4 ya mwezi Agosti likiwa na lengo la kuwakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini . Na Fred Cheti. Serikali kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…

2 August 2023, 1:36 pm

Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo

Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…

26 July 2023, 5:42 pm

Serikali yatakiwa kuhamasisha vijana kujikita katika kilimo

Kartika kupunguza changamoto ya ajira na ugumu wa maisha kwa vijana nchini serikali imeendelea kusisitiza juu ya suala la kilimo biashara kwa kuanzisha programu mbalimbali kwa lengo la kuwawwezesha kujikwamua kiuchumi ikiwa ni katika kuanzisha mashamba ya kilimo pamoja na…

22 June 2023, 5:01 pm

Vijana watakiwa kutumia fursa zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi

Shirika la Kingdom Leadership Network Tanzania(KLNT) limekuwa likiratibu mikutano ya maombi kwa Taifa ikifahamika kama Tanzania Prayer Breakfast. Na Rabiamen Shoo. Wananchi hususan vijana wametakiwa kuzitumia vizuri fursa zinazojitokeza katika maeneo yao kupata elimu hususan namna ya kufanikiwa kiuchumi. Wito…

16 June 2023, 1:54 pm

Vijana Kongwa wapokea bonanza la afya

Afisa lishe wilaya Kongwa Bi. Maria Haule amesema vijana lika balehe wakike wanatakiwa kujenga utaratibu wa kula vyakula vinavyoongeza damu ili kusaidia kurudisha damu inayopotea wakati wa hedhi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imepongeza na kushukuru wizara ya afya…