Dodoma FM

EWURA

9 June 2023, 12:00 pm

Kikundi cha vijana Mundemu kunufaika na kilimo cha nyanya

Kikundi hicho kimepokea mkopo wa shilingi milioni nane kutoka halmashauri ya wilaya ya Bahi. Na Bernad Magawa. Kikundi cha kilimo tija cha vijana kijiji cha Mundemu kata ya Mundemu wilayani Bahi kinatarajia kunufaika na kilimo cha nyanya kupitia kilimo cha…

30 May 2023, 4:58 pm

Vijana walalamika kukosa mitaji ya kujiajiri

Pamoja na serikali kutenga mikopo ya 10% kwa ajili ya vijana , akina mama na walemavu, bado kuna ugumu katika kupata mikopo hiyo. Na Bernad Magawa Katika kuhakikisha kuwa vijana hapa nchini wanajitengenezea ajira wenyewe badala ya kusubiri kuajiriwa, baadhi…

24 May 2023, 6:05 pm

Wasomi washauriwa kutokuchagua kazi

Peter ametoa wito kwa vijana kupambana bila kuchagua kazi ilimradi iwe halali na isiyo na madhara kiafya. Na Bernad Magawa . Vijana wasomi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuacha kuchagua kazi za kufanya badala yake wajikite katika kutengeneza ajira binafsi…

8 June 2022, 2:28 pm

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa

Na; Lucy Lister . Vijana jijini Dodoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua  kazi. Akizungumza na Dodoma fm Bw. Charles Mathias ambaye anajishughulisha na suala la kuongeza thamani kupitia biashara ya…

1 September 2021, 12:44 pm

EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta

Na;Mindi Joseph . Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta kutokana na kubadilika kwa bei katika Soko la Dunia na gharama za uagizaji. Bei ya mafuta kupanda itaanza kutumika kuanzia leo…