Chai FM

Uncategorized

23 November 2021, 9:34 am

TANLAP yawajengea uwezo wasaidizi wa kisheria Rungwe

RUNGWE Kaimu mkurugenzi kutoka mtandao wa Mashirika yanayotoa msaada wa kisheria Tanzania [TANLAP] MCHELELI MACHUMBANA ameitaka jamii kujua sheria mbambali ili kukabiliana na unyanyasaji uliopo kwenye maeneo yao. Ametoa kauli hiyo mbele ya wasaidizi wa kisheria waliopo wilayani Rungwe mkoani…

22 November 2021, 9:36 am

Mafunzo yawe chachu ya mabadiliko

RUNGWE-MBEYA NA:STAMILY MWAKYOMA Vijana wametakiwa kuwa vielelezo katika jamii kupitia mafunzo yanayotolewa na vyuo vya maendeleo ya wananchi hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi Ndugu Gerald Kimbunga  katika maafali ya 45 ya chuo cha maendeleo ya Wananchi Katumba…

15 November 2021, 3:09 pm

Jamii imetakiwa kusaidia watoto wenye uoni hafifu

RUNGWE-MBEYA Mwenyekiti wa chama wasioona (TLB )mkoa wa Mbeya ndg.YOHANA MONGA amewaomba wadau mbalimbali kote nchini kusaidia vifaa vya kufundishia watoto wenye mahitaji maalum mashuleni. Ametoa kauli hiyo alipokuwa akikabidhi fimbo nyeupe kwa wanafunzi wasioona kwenye shule ya mahitaji maalum…

12 November 2021, 4:59 am

34 Wahitimu mafunzo ya Jeshi la akiba wilayani Rungwe

RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mh,Rashidi Chuachua amewaomba wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba [mgambo]wilayani Rungwe kuenda kuyaishi yale yote waliofundishwa wakiwa mafunzoni. Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya Jeshi hilo la akiba mwaka 2021 katika halmashauri ya…

10 November 2021, 5:57 am

4326 kufanya mtihani wa kidato Cha nne Rungwe

Jumla ya wanafunzi 4,326 wilayani Rungwe mkoani Mbeya wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne unaotarajiwa kuanza tarehe 15.11.2021 kote nchini. Kwa mujibu wa Afisa elimu sekondari wilayani Rungwe Mwl. Yona Mwaisaka amesema kati ya watahiniwa hao 231 ni…

9 November 2021, 6:09 pm

Makusanyo hafifu ya mapato yawafukuzisha kazi watendaji

KYELA-MBEYA Halmashauri ya wilaya ya kyela mkoani Mbeya imeagizwa kuwafuta kazi watendaji wa kata  ambao kata zao zimekuwa za mwisho kwenye zoezi la ukusanyaji wa mapato. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera mbele ya baraza…

8 November 2021, 7:17 am

Serikali za vijiji zishiriki elimu chanjo UVIKO

RUNGWE-MBEYA Jamii wilayani Rungwe imeendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virus vya Corona kwa kuendelea kuzingatia upataji wa chanjo inayoendelea kutolewa kote nchini. Akizungumza na Radio Chai FM Mwenyekiti wa kitongoji cha Mabonde kata ya Msasani Wilayani Rungwe Ndg.ELIAS  MWASAMBILI amesema…

8 November 2021, 6:22 am

Chakula mashuleni chaongeza ufaulu Rungwe

RUNGWE-MBEYA Ulaji wa chakula cha mchana katika shule za msingi wilayani Rungwe imechangia kuongeza kiwango cha ufaulu kwa matokeo ya darasa la saba mwaka huu kutoka asilimia 85.28 ya mwaka jana hadi asilimia 90.59 mwaka huu ambalo ni ongezeko la…

4 November 2021, 4:46 am

Mkuu wa wilaya Rungwe amaliza mgogoro wa shule

RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr VICENT ANNEY, ameruhusu kuendelea kwa ujenzi wa shule ya sekondari Kibisi ambao ulikuwa umeingia kwenye mvutano baada ya kiasi cha shilingi  mil 40 kilicho tengwa kwaajili ya ukamilishaji wa maboma ya shule kupelekwa…

31 October 2021, 4:10 am

Jamii yapaswa kuzingatia lishe kwa Watoto

Rungwe-Mbeya Ili kupunguza tatizo la udumavu na utapia mlo  Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji sahihi unaoshauriwa na wataalamu wa afya kwa watoto. Rai hiyo imetolewa na afisa lishe wilaya ya Rungwe Bi Halima Kimeta  alipokuwa akizungumza na kituo hiki  amesema kuwa…