Chai FM

Uncategorized

28 October 2021, 5:28 am

Milioni 300 ujenzi jengo la dharula Hospitali ya Wilaya

RUNGWE katika kuendelea kuboresha huduma ya afya hapa nchini halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani mbeya  inatarajia kupokea fedha kutoka serikali kuu kiasi cha shilingi milioni  300 kwaajili ya ujenzi wa jengo la dhalura katika hosptali ya wilaya ya Rungwe…

27 October 2021, 5:22 am

Milioni 500 kusaidia upatakanaji wa Maji Rungwe

RUNGWE. Ofisi ya mamlaka ya maji Tukuyu Wilayani Rungwe mkoani Mbeya imeahidi kutatua changamoto ya maji kwa wananchi kupitia miradi inayoenda kutekelezwa ndani ya Wilaya. Kupitia Meneja wa mamlaka ya maji Tukuyu  Peter Amon amesema hayo akizungumza na Radio Chai…

26 October 2021, 9:07 am

Jamii iwe makini wizi mtandaoni

RUNGWE Jeshi la polisi Wilayani Rungwe limewaomba wafanyabishara kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo kukabiliana na watu wanao jihusisha na uwizi wa mtandaoni. Jeshi hilo limetoa kauli hiyo kupitia Mkuu wa upelezi Wilaya ya Rungwe WILLIAM NYAMAKOMANGO alipokutana na wafanyabiashara kwenye…

25 October 2021, 9:43 am

Matumizi sahihi ya mswaki tiba ya kinywa

RUNGWE Mratibu wa afya ya kinywa na meno Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya DOKT HOSEA MWAKYUSA ameelezea matumizi sahihi ya miswaki ambapo mswaki unatakiwa kutumika ndani ya miezi mitatu. Akizungumza na kituo hiki amesema kuwa kinywa ni kitu muhumu katika kiungo…

25 October 2021, 9:21 am

Machinga kutii agizo la serikali

RUNGWE Wafanya biashara wadogo (machiga) soko la Tukuyu, wamesema wameanza kutekeleza agizo la Halmashauri la kuhama katika maeneo yasiyo rasmi wanayo fanyia biashara zao na badala yake wahamie katika maeneo waliyo pangiwa na halmashauri. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na radio…

21 October 2021, 12:09 pm

Mseleleko wawaponza vijana VVU

RUNGWE Vijana wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wameelezea sababu zinazo pelekea baadhi ya vijana kupata maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kutokana na tafiti zilizotolewa na tume ya kudhibiti Ukimwi nchini (Tacaids). Tafiti hizo za mwaka 2020 zimebainisha kuwa vijana kati…

21 October 2021, 9:33 am

Mila na desturi zinavyokandamiza wagonjwa wa akili

RUNGWE Hivi karibuni Dunia imeadhimisha siku ya magonjwa ya afya ya akili jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya ametakiwa kuachana na imani za kishirikiana juu ya ugonjwa huo. Akizungumza na kituo hiki mratibu wa afya ya akili wilaya Dkt JOHN DUNCAN…

13 October 2021, 8:56 am

Wivu wawanyima uhuru watumishi

RUNGWE-MBEYA Wivu wa maendeleo imetajwa kuwa moja kati ya sababu zinazopelekea waajiri wengi wa wafanyakazi wa majumbani kutowaruhusu wafanyakazi wao kuendesha miradi yao. Wakizungumza na waandishi wetu baadhi ya wananchi wilayani hapa wamesema kwamba baadhi ya waajiri wanaogopa kuzidiwa kipato…