Uvuvi
1 Septemba 2025, 15:27
Wachakataji mazao ya uvuvi ziwa Tanganyika walia na masoko
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wavuvi na wachakataji wa mazao ya uvuvi na kuwapatia masoko. Na Kadislaus Ezekie Wananchi mkoani Kigoma ambao wamejikita katika ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kwa kufuga samaki aina ya sato wa Ziwa Tanganyika pamoja…
28 Julai 2025, 16:50
Makala: Mabadiliko ya tabianchi na athari za uchumi
“Tunatoa wito wa kuchukua hatua za pamoja, utunzaji wa miundombinu, kuboresha miundombinu, kuwahamisha watu kutoka maeneo hatarishi na kuimarisha elimu ya tabianchi“ Na Musa Mtepa, Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri maisha ya Watanzania, hasa katika mikoa ya Kusini kama…
24 Julai 2025, 9:47 mu
Kutojua gharama kikwazo sekta ya utalii Katavi
Kimori Chiwa askari muhifadhi kitengo cha utalii hifadhi ya Taifa Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumeweka gharama ndogo ili kila mtanzania aweze kuja kufanya utalii” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
8 Juni 2025, 10:09
Kipindi: Taka za plastiki chanzo kikuu mabadiliko ya tabianchi
Haya yalikuwa mahojiaono ya moja kwa moja studio na maafisa wa Mazingira kutoka Baraza la uhifadhi na utunzaji wa Mazingira NEMC kanda ya kusini siku ya june 5,2025 ikiwa ni siku ya Mazingira Duniani. Na Musa Mtepa Dunia inaendelea kuathirika…
6 Machi 2025, 5:29 um
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba akioga
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na Mamba alipokwenda ziwani asubuhi, rafiki apanda juu ya mamba kunusuru ndugu yake. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Jumanne Maseke mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Neruma kata…
3 Febuari 2025, 6:29 um
Watendaji katika taasisi za utoaji haki watakiwa kuzingatia weledi wakati w…
Kilele cha Wiki ya Sheria ni kiashiria cha kuanza rasmi kwa shughuli za Mahakama ambapo kwa mwaka huu maadhimisho hayo yameongozwa na Kauli isemayo “Tanzania ya 2050, nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki Madai katika kufikia malengo Makuu ya Dira ya…
10 Januari 2025, 5:12 um
Wafanyabiashara Babati walalamika kuondolewa kwa vibanda vyao
Wajasiriamali wanaofanya shughuli zao katika hifadhi ya eneo la barabara kuu mjini Babati mkoani Manyara wamesema serikali ingewashirikisha na kuwapa mda wa kutafuta maeneo mengine kabla ya kuwaondoa kwenye maeneo hayo. Na George Agustino Kufuatia zoezi la kuwaondosha wajasiriamali wanaofanya…
26 Disemba 2024, 10:52 mu
Prof. Lyala asherehekea Krismas na wafungwa Magu
Wakirsto ulimwenguni kote husherekea sikukuu ya kuzaliwa bwana yesu Kristo kila mwaka tar 25,ambapo pia hufanya matendo mbalimbali ya hisani kwa jamii. Na,Elisha Magege Prof.Edwinus Chrisantus Lyaya amekabidhi kitoweo cha Ng’ombe kwa wafungwa katika Gereza la Magu ili washerekee sikukuu…
3 Septemba 2024, 18:52
Madereva, makondakta Mbeya waomba kazi yao iheshimiwe
Sekta ya usafirishaji ni sekta inayotegemewa kwa kiwango kikubwa kutokana na uwepo wa sekta hiyo ajira nyingi zimetengenezwa licha ya uwepo wa changamoto wanazokutana nazo watendaji katika sekta hiyo. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya maafisa usafirishaji na madereva wa daladala…
18 Juni 2024, 8:27 mu
Umeme vijijini ulivyobadilisha maisha Geita
Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…