Radio Tadio

Utamaduni

22 Novemba 2024, 12:33 um

Mradi wa taka rejeshi kuwanufaisha wakazi kata ya Chamwino

Wananchi wamepaswa kutambua kuwa chupa za plastiki ni mali hivyo si vema kuzitupa ovyo na kuharibu mazingira. Na Fred Cheti. Majaribio ya Mradi wa uchakataji chupa za plastiki umetajwa kuwanufaisha wananchi wa kata ya Chamwino amabao wengi wamepata ajira kupitia…

7 Novemba 2024, 5:55 um

Jitihada zaidi zahitajika kuteketeza taka za kieletroniki

Na Mariam Kasawa. Takribani tani  33, 000   za taka za kieletroniki huzalishwa nchini kwa mwaka na asilimia 3% tu ya taka hizo hukusanywa na kurejereshwa na kiwango kikubwa cha taka hubaki na kuzagaa katika mazingira. Bi Lilian Lukambuzi Mkurugenzi wa…

23 Oktoba 2024, 6:58 um

Zifahamu athari za betri chakavu za magari

Na Mariam Kasawa. Betri chakavu za magari  zimetajwa kuwa na athari kubwa kwa viumbe na mazingira endapo hazitateketezwa katika utaratibu mzuri. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha  na kuepukana na kemikali zinazotokana na betri chakavu Bi. Dora Swai katibu mtendaji kutoka…

12 Oktoba 2024, 4:23 um

DC Sengerema aongoza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi

Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza  kujiandikisha katika Daftari la makazi…

8 Oktoba 2024, 6:40 um

Zijue sheria za mazingira kuepuka adhabu

Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kuzitambua sheria mbalimbali za usimamizi wa mazingira pamoja adhabu zake endapo sheria hizo zitakiukwa ili kuepuka kuvunja sheria . Bwn. Onesmo Nzinga mwanasheria kutoka baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira NEMC amesma hayo wakati…

18 Septemba 2024, 7:42 um

Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi

Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu.  Hivyo ni jambo la…

17 Septemba 2024, 8:59 um

Dunia yaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhifadhi tabaka la Ozoni

Serikali imetakiwa kuanzia ngazi ya chini katika maadhimisho mbalimbali yanayo husiana na utunzaji wa mazingira ili kuwajengea uelewa wananchi. Na Mariam Kasawa Tanzania imeungana na Dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuhifadhi Tabaka la Ozoni (Ozone) amapo kauli mbiu ya…