Utamaduni
22 Novemba 2024, 12:33 um
Mradi wa taka rejeshi kuwanufaisha wakazi kata ya Chamwino
Wananchi wamepaswa kutambua kuwa chupa za plastiki ni mali hivyo si vema kuzitupa ovyo na kuharibu mazingira. Na Fred Cheti. Majaribio ya Mradi wa uchakataji chupa za plastiki umetajwa kuwanufaisha wananchi wa kata ya Chamwino amabao wengi wamepata ajira kupitia…
7 Novemba 2024, 5:55 um
Jitihada zaidi zahitajika kuteketeza taka za kieletroniki
Na Mariam Kasawa. Takribani tani 33, 000 za taka za kieletroniki huzalishwa nchini kwa mwaka na asilimia 3% tu ya taka hizo hukusanywa na kurejereshwa na kiwango kikubwa cha taka hubaki na kuzagaa katika mazingira. Bi Lilian Lukambuzi Mkurugenzi wa…
4 Novemba 2024, 4:59 um
Sendiga aikabidhi hekari 8 taasisi ya Mwinyi Baraka Islamic Foundation
Baada ya mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga kuikabidhi hekari 8 Taasisi ya Mwinyi Baraka Foundatin amesema uwekezaji huo utaisaidia kuwainua vijana kwa kujifunza shughuli mbalimbali pamoja na kujiajiri kufuatia kuwepo kwa changamoto ya ajira kwa vijana wengi Na…
23 Oktoba 2024, 6:58 um
Zifahamu athari za betri chakavu za magari
Na Mariam Kasawa. Betri chakavu za magari zimetajwa kuwa na athari kubwa kwa viumbe na mazingira endapo hazitateketezwa katika utaratibu mzuri. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha na kuepukana na kemikali zinazotokana na betri chakavu Bi. Dora Swai katibu mtendaji kutoka…
12 Oktoba 2024, 4:23 um
DC Sengerema aongoza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi
Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la makazi…
10 Oktoba 2024, 7:00 um
EFL Dodoma yachagiza kaulimbiu Dodoma ya kijani kwa kupanda miti
Na Mariam Kasawa. Kampuni ya mikopo ya Enterprice Financial Limited EFL imechagiza kauli mbiu ya Dodoma ya Kijani kwa kupanda miti katika maeneo ya Kndege Shule ya Msingi iliyopo jijini Dodoma. Meneja wa ampuni hiyo ya EFL tawi la Dodoma…
9 Oktoba 2024, 6:22 um
NEMC yaagiza viwanda kufanya tathmini ya mazingira kabla Octoba 30
Na Mariam Kasawa. Balaza la Uhifadhi na Usimaizi wa Mazngira NEMC limetoa mwezi mmoja kwa viwanda kufanya tathmini za athari kwa mazingira ili kuepuka uchafuzi wa mazingira unaosababisha na shughuli za viwanda. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate…
8 Oktoba 2024, 6:40 um
Zijue sheria za mazingira kuepuka adhabu
Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kuzitambua sheria mbalimbali za usimamizi wa mazingira pamoja adhabu zake endapo sheria hizo zitakiukwa ili kuepuka kuvunja sheria . Bwn. Onesmo Nzinga mwanasheria kutoka baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira NEMC amesma hayo wakati…
18 Septemba 2024, 7:42 um
Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi
Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu. Hivyo ni jambo la…
17 Septemba 2024, 8:59 um
Dunia yaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhifadhi tabaka la Ozoni
Serikali imetakiwa kuanzia ngazi ya chini katika maadhimisho mbalimbali yanayo husiana na utunzaji wa mazingira ili kuwajengea uelewa wananchi. Na Mariam Kasawa Tanzania imeungana na Dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuhifadhi Tabaka la Ozoni (Ozone) amapo kauli mbiu ya…