
Ujenzi

25 January 2024, 15:16
Bilioni 3 kujenga ofisi mpya za wilaya Kibondo
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imeanza ujenzi wa ofisi mpya za halmashauri hiyo zitakazogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3 mpaka kukamilika kwake ikiwa ni mikakati ya serikali ya kuboresha mazingira ya kutolea huduma kwa wananchi. Na, James Jovin…

January 24, 2024, 9:53 pm
DC Samweli Sweda ahimiza upandaji miti katika taasisi Mbalimbali Makete
Kutokana na maafa yaliyotokea katika baadhi ya taasisi ikiwemo shule za Sekondari Mang’oto na Ipelele Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh.Samweli Sweda amewataka wananchi Kupanda Miti katika maeneo yote yenye Taasisi Na Aldo Sanga Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe.…

29 November 2023, 09:57
Serikali kutumia bilioni 40 kukarabati meli mbili ziwa Tanganyika
Serikali inatarajia kutumia jumla ya Shilingi Bilioni 40 kukarabati meli kongwe ya abiria na mizigo ya MV Liemba pamoja na meli ya mafuta ya MT Sangara yenye uwezo wa kubeba lita laki nne za mafuta ambayo matengenezo yake tayari yameanza. Akizungumza baada kutembelea na…

24 November 2023, 9:46 am
IGP Ussi awataka Wete kutochimba vyoo, karo kwenye vyanzo vya maji
Choo ni moja kati ya jambo muhimu katika nyumba hivo ni muhimu kuhakiksha kila mwanajamii amechimba choo katika nyumba yake lakini licha ya umuhimu wake ni lazima kuhakiksha huchimbi choo hicho karibu na vianzio vya maji kwani vinaweza kusababisha madhara…

11 October 2023, 11:30
Waziri Pro. Mbarawa ashusha kibano kwa TRC
Katika kuhakikisha usafiri kwa kutumia treni unaimarika Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa ameagiza watumishi wa Reli kufanya kazi kwa weledi na kujituma ili kuhaikisha wanatoa huduma bora. Na, Tryphone Odace Waziri wa Ujenzi Pro. Makame Mbarawa ameonyesha kutoridhishwa utendaji wa…

5 October 2023, 2:01 pm
Wananchi Kasekese waishukuru serikali kwa kuwajengea shule mpya
Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameishukuru serikali kwa kuwajengea shule kijijini hapo. Na Gladness Richard – Tanganyika Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani hapa wameishukuru serikali kwa kuwajengea…

30 September 2023, 18:59
Kalinga: Wanafunzi 5 wasiojiweza kushikwa mkono
Na Gift Mario/Mufindi Kaimu Meneja mawasiliano na masoko TBA Ndugu Fredrick Kalinga, amechangia mifuko 30 ya saruji kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa matundu 14 ya vyoo katika shule ya msingi Igulusi kata ya Ifwagi wilayani Mufindi. Katika hotuba yake…

28 September 2023, 09:32
Mkandarasi aagizwa kuongeza kasi ujenzi barabara ya Uvinza
Serikali imesema mkandarasi anayejenga barabara ya Ilunde – Malagarasi Uvinza kuwa amekiuka makubaliano ya mkataba wa kukamilisha na kukabidhi barabara ya ya Ilunde Uvinza Mwezi oktoba mwaka huu wa 2023. Na, Kadislaus Ezekiel. Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya…

24 September 2023, 3:08 pm
Vijana Pemba waomba ajira ujenzi uwanja wa ndege
Wananchi waliopisha ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba kuanza kulipwa fidia mara baada ya kukamilika kwa tathmini. Na Is-haka Mohammed Kamati ya muda ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoratibu masuala ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba imekutana…

14 September 2023, 19:21
Kinanasi: Yajayo Kyela yanafurahisha
Mbunge wa Jimbo la Kyela Ally Mlagila Jumbe Kinanasi ameahidi kutekeleza mambo yote yaliyoombwa na wananchi wa kata ya Bujonde ikiwemo barabara ya kutoka Bujonde kwenda Nyerere ndani ya kata hiyo. Ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi katika…