Uhuru
Febuari 23, 2026, 12:29 mu
Wafanyakazi wapatiwa mafunzo ya kujikinga na majanga
Wafanyakazi wa kampuni ya Costig Holdings ltd iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujua wajibu wao wawapo kazini pamoja na kuzingatia walichofundishwa na wataalum mbalimbali ili kuongeza uzalishaji zaidi. Katika mafunzo hayo wataalumu kutoka sekta mbalimabli wakiwemo maafisa kutoka NSSF,…
19 Febuari 2026, 18:28
Baraka media Tanzania yaishukuru Mahakama kuu kwa kuitunuku tuzo ya ushirikiano
Mahakama kuu ya Tanzania yatambua mchango wa taasisi ya baraka media tanzania kwa kuitunuku tuzo ya umahili wa utengenezaji wa maudhui. Na Hobokela Lwinga Taasisi ya Baraka Media Tanzania, inayomiliki Baraka FM Radio na Baraka TV, imeishukuru Mahakama Kuu ya…
19 Febuari 2026, 08:46
Baraka FM yapewa tuzo utengenezaji maudhui ya mahakama
Kwa muda mrefu Baraka fM imekuwa ikitoa vipindi na taarifa mbalimbali zinazolenga kuelimisha jamii kuhusu sheria, taratibu za kimahakama na utoaji wa haki, hivyo kusaidia kuongeza uelewa wa wananchi na kuimarisha ushirikiano kati ya Mahakama na vyombo vya habari.Na Hobokela…
16 Januari 2026, 09:37
Mwalimu afia ndani ya nyumba, mwili wake waharibika vibaya
Mwili wa marehemu Zainabu Mwalyepelo umechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi baada ya kukutwa ndani akiwa amefariki wiki tatu zilizopita. Na Ezekiel Kamanga Simanzi zimetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Igodima Kata ya Iganzo Jijini Mbeya…
24 Novemba 2025, 12:54 um
Ukeketaji vigoli, jinamizi linaloitesa Kilindi
Na Saa Zumo Ukeketaji kwa wasichana vigoli wilayani kilindi mkoani Tanga Unafanyika kipindi ambacho Msichana amevunja ungo, na anakutana na shughuli ya awali ya kukeketwa, kisha kuchezewa sherehe ya unyago kwa ajili ya maandalizi ya kuingia katika hatua ya ukubwa…
4 Novemba 2025, 13:06
Mtangazaji wa Baraka media afariki dunia
Uongozi wa Baraka FM unasikitika kutangaza kifo cha Kelvin Lameck ambaye alikuwa akitumikia nafasi ya Mhariri Msaidizi katika kituo chetu cha redio. Marehemu Kelvin Lameck amefariki dunia tarehe 29 Oktoba 2025, tukio lililowaacha kwa majonzi makubwa wafanyakazi wenzake, marafiki na…
28 Oktoba 2025, 14:32
Wazazi watakiwa kuwapa fursa ya elimu watoto wenye ulemavu Kasulu
Serikali imewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawapa watoto wenye ulemavu nafasi ya kwenda shule ili wapate elimu kama watoto wengine Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa Kuwapatia fursa watoto wao wenye mahitaji maalumu kushiriki katika…
28 Oktoba 2025, 11:35 mu
Dkt Lugomela ahitimisha kampeni za uchaguzi kwa kishindo- Maswa
Nimezunguka kata zote 19 za Jimbo la Maswa mashariki nimesikiliza kero na kujionea changamoto mbalimbali hivyo mkinipa ridhaa ya kuwa mbunge wenu nitaenda kuzitatua ” Dkt George Lugomela” Mgombea Ubunge Jimbo la Maswa Mashariki Mkoani Simiyu kupitia chama cha mapinduzi…
27 Oktoba 2025, 21:38 um
CUF yaahidi maendeleo kwa Wananchi wa kata ya Madimba
Mgombea Ubunge wa Mtwara Vijijini kupitia CUF, Shamsia Azizi Mtamba, amewataka wananchi wa Kata ya Madimba kuendelea kumuamini na kumpa kura, akiahidi kuendeleza maendeleo na kulinda kura zao dhidi ya propaganda za kisiasa Na Musa MtepaMtwara–Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la…
25 Oktoba 2025, 21:34
DC Mbeya ahamasisha wananchi kupiga kura October 29, 2025
Kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila mwananchi alikidhi vigezo ikiwemo umri. Na Hobokela Lwinga Wananchi halmashauri ya wilaya ya Mbeya wameshiriki matembezi ya pole kwa lengo la kujipongeza kwa ushindi wa mbio za Mwenge kikanda oktoba 14,2025 na…