Uhuru
3 Aprili 2026, 10:26
IDYDC yatatua changamoto ya maji Mangawe
Wananchi wa Kijiji cha Mangawe kilichopo Jimbo la Ismani wanatarajia kunufaika na mradi wa maji ya mkopo usiokuwa na riba. Na Hafidh Ally Shirika lisilo la kiserikali la Idydc Mkoani Iringa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi…
29 Machi 2026, 16:07
IDYDC kuwakopesha maji wananchi Mikong’wi
Changamoto wa upatikanaji wa huduma ya maji Katika Kijiji cha Mikong’wi imepelekea Uongozi wa kijiji hicho kuwakaribisha Shirika la IDYDC kuwapatia maji ya Mkopo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mikong’wi Kilichopo Kata ya Kising’a Wilaya ya Iringa Vijijini…
25/02/2026, 16:05
Usafiri baharini washuka, safari za anga zapaa Zanzibar
Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar imesema jumla ya mienendo ya vyombo vya baharini kwa mwezi wa Januari 2026 imefikia 1,211, ikiwa ni upungufu wa asilimia 35.6 ikilinganishwa na mienendo 1,879 iliyorekodiwa mwezi Januari 2025. Akiwasilisha…
23 Febuari 2026, 00:29
Wafanyakazi wapatiwa mafunzo ya kujikinga na majanga
Wafanyakazi wa kampuni ya Costig Holdings ltd iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujua wajibu wao wawapo kazini pamoja na kuzingatia walichofundishwa na wataalum mbalimbali ili kuongeza uzalishaji zaidi. Katika mafunzo hayo wataalumu kutoka sekta mbalimabli wakiwemo maafisa kutoka NSSF,…
19 Febuari 2026, 18:28
Baraka media Tanzania yaishukuru Mahakama kuu kwa kuitunuku tuzo ya ushirikiano
Mahakama kuu ya Tanzania yatambua mchango wa taasisi ya baraka media tanzania kwa kuitunuku tuzo ya umahili wa utengenezaji wa maudhui. Na Hobokela Lwinga Taasisi ya Baraka Media Tanzania, inayomiliki Baraka FM Radio na Baraka TV, imeishukuru Mahakama Kuu ya…
19 Febuari 2026, 08:46
Baraka FM yapewa tuzo utengenezaji maudhui ya mahakama
Kwa muda mrefu Baraka fM imekuwa ikitoa vipindi na taarifa mbalimbali zinazolenga kuelimisha jamii kuhusu sheria, taratibu za kimahakama na utoaji wa haki, hivyo kusaidia kuongeza uelewa wa wananchi na kuimarisha ushirikiano kati ya Mahakama na vyombo vya habari.Na Hobokela…
16 Januari 2026, 09:37
Mwalimu afia ndani ya nyumba, mwili wake waharibika vibaya
Mwili wa marehemu Zainabu Mwalyepelo umechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi baada ya kukutwa ndani akiwa amefariki wiki tatu zilizopita. Na Ezekiel Kamanga Simanzi zimetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Igodima Kata ya Iganzo Jijini Mbeya…
24 Novemba 2025, 12:54
Ukeketaji vigoli, jinamizi linaloitesa Kilindi
Na Saa Zumo Ukeketaji kwa wasichana vigoli wilayani kilindi mkoani Tanga Unafanyika kipindi ambacho Msichana amevunja ungo, na anakutana na shughuli ya awali ya kukeketwa, kisha kuchezewa sherehe ya unyago kwa ajili ya maandalizi ya kuingia katika hatua ya ukubwa…
4 Novemba 2025, 13:06
Mtangazaji wa Baraka media afariki dunia
Uongozi wa Baraka FM unasikitika kutangaza kifo cha Kelvin Lameck ambaye alikuwa akitumikia nafasi ya Mhariri Msaidizi katika kituo chetu cha redio. Marehemu Kelvin Lameck amefariki dunia tarehe 29 Oktoba 2025, tukio lililowaacha kwa majonzi makubwa wafanyakazi wenzake, marafiki na…
28 Oktoba 2025, 14:32
Wazazi watakiwa kuwapa fursa ya elimu watoto wenye ulemavu Kasulu
Serikali imewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawapa watoto wenye ulemavu nafasi ya kwenda shule ili wapate elimu kama watoto wengine Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa Kuwapatia fursa watoto wao wenye mahitaji maalumu kushiriki katika…