Radio Tadio

Uhuru

13 March 2025, 10:38

Jiji la Mbeya kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi

Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 halmashauri mbalimbali nchini zimeanza kujadili ugawaji wa majimbo ili kurahisisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Baraza la madiwani la halmashauri ya jiji la Mbeya limepitisha kwa kauli moja azimio la kuligawa jimbo la Mbeya mjini…

13 February 2025, 13:42

Kabudi ataka vyombo vya habari kuzingatia ufasaha wa lugha ya kiswahili

Kulingana na mchango wa vyombo vya habari katika maendeleo ya nchi,TCRA imewakutanisha wadau kujadili na kujifunza mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu 2025. Na Charles Amlike,Dodoma Waziri wa habari,utamaduni,Sanaa na michezo Prof.Paramagamba Kabudi amevitaka vyombo vya habari viache kubananga lugha ya…

2 January 2025, 9:08 pm

Nyumba yateketea kwa moto 20 wanusurika kifo Bunda

Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata ya Bunda stoo halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamenusurika kifo baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata…

28 December 2024, 20:13 pm

Mtenga akabidhi bati, TV kwa vijiwe vya bodaboda Mtwara

Hii ni katika kuona anawafikia vijana kwenye maeneo yao ya kazi na kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili katika maeneo yao Na Musa Mtepa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Mh. Hassani Mtenga, amekabidhi bati na televisheni zenye thamani ya zaidi…