
Uhuru

13 March 2025, 10:38
Jiji la Mbeya kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi
Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 halmashauri mbalimbali nchini zimeanza kujadili ugawaji wa majimbo ili kurahisisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Baraza la madiwani la halmashauri ya jiji la Mbeya limepitisha kwa kauli moja azimio la kuligawa jimbo la Mbeya mjini…

3 March 2025, 09:22
George ajiua kwa sumu kisa madeni ya vicoba vya mke wake ,Mbeya
Wanandoa mara zote huwa wanashauri kushirikiana pamoja katika maamuzi,hali hiyo imekuwa tofauti kwa ndoa za sasa. Na Ezekiel Kamanga Kijana George Arubati (29) mkazi wa mtaa wa Kanda ya Juu, kata ya Iduda jijini Mbeya amefariki dunia baada ya kudaiwa…

22 February 2025, 06:09
Kurasa za magazeti leo 22 Februari 2025
Zifahamu habari zilizo pewa nafasi kubwa katika krasa za magazeti Tanzania

13 February 2025, 13:42
Kabudi ataka vyombo vya habari kuzingatia ufasaha wa lugha ya kiswahili
Kulingana na mchango wa vyombo vya habari katika maendeleo ya nchi,TCRA imewakutanisha wadau kujadili na kujifunza mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu 2025. Na Charles Amlike,Dodoma Waziri wa habari,utamaduni,Sanaa na michezo Prof.Paramagamba Kabudi amevitaka vyombo vya habari viache kubananga lugha ya…

29 January 2025, 16:34
TAKUKURU Mbeya yarejesha zaidi milioni 15 kwa wasafirisha sampuli za binadamu
Jukumu la kupambana na kuzuia Rushwa si la taasisi ya TAKUKURU pekee bali kila mwananchi anao wajibu wa kutoa taarifa za Rushwa pindi anapobaini mianya katika eneo alilopo. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa…

17 January 2025, 10:52 am
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi yafanya kikao na Wadau wa Uchaguzi Mkoani Mtwara
Hii inalenga kutoa elimu ya ujiandikishaji na hamasa kwa Wananchi kushiriki katika zoezi la kujiandikisha na uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara. Na Mwanahamisi Chikambu Tume huru ya…

14 January 2025, 21:33 pm
RC aiomba CCM achukue hatua dhidi ya wahujumu wa wakulima wa korosho
Hiki ni kikao cha halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilicholenga kutoa taarifa za utekelezaji wa ilani pamoja na changamoto zilizojitokeza katika miradi na jamii kwa ujumla Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ameiomba…

2 January 2025, 9:08 pm
Nyumba yateketea kwa moto 20 wanusurika kifo Bunda
Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata ya Bunda stoo halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamenusurika kifo baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya watu 20 katika mtaa wa miembeni kata…

31 December 2024, 06:31
Kurasa za magazeti leo 31 Desemba 2024

28 December 2024, 20:13 pm
Mtenga akabidhi bati, TV kwa vijiwe vya bodaboda Mtwara
Hii ni katika kuona anawafikia vijana kwenye maeneo yao ya kazi na kutatua baadhi ya changamoto zinazowakabili katika maeneo yao Na Musa Mtepa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Mh. Hassani Mtenga, amekabidhi bati na televisheni zenye thamani ya zaidi…