Radio Tadio

Uhuru

1 September 2024, 11:19

Diwani kata ya ilima Tukuyu azikwa,madiwani wenzake wamlilia

Kifo ni fumbo ambalo hakuna anayeweza kutegua fumbo hilo isipo kuwa Mungu mwenyewe anayetoa na kutwaa. Na Hobokela Lwinga Aliyekuwa Diwani wa kata ya Ilima Marehemu Philipo Shimwela amezikwa tarehe 31.8.2024 katika kijiji chao cha Lubanda kilichopo katika kata hii…

28 August 2024, 1:50 am

Watatu wahukumiwa kifo mauaji ya Milembe Geita

Washtakiwa watatu kati ya wanne (wa kwanza kulia, wa kati na dada wa nyuma) waliokuwa wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya Milembe Suleiman (43) wametiwa hatiani kwa kutenda kosa hilo na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa. Na: Daniel Magwina – Geita…