Uchumi
26 November 2025, 10:51 am
Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel
“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…
30 September 2025, 1:01 pm
Walimu FC mabingwa Ngorongoro
Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…
September 3, 2025, 2:47 pm
Ndege nyuki kuleta mapinduzi sekta ya kilimo nchini
Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mussa Kinkaya Mkurugenzi Mtendaji wa…
August 28, 2025, 11:42 pm
Mgambo watakiwa kuzuia magendo na wahamiaji haramu
Askari wa jeshi la akiba (mgambo) mkoani Kagera wametakiwa kuwa malinzi wa raia na mali zao na kuwa wazalendo katika kulilinda taifa lao dhidi ya vitendo vya uhalifu. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Erasto Yohana…
August 23, 2025, 1:39 pm
Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
22 August 2025, 5:45 pm
Watoto waathirika wakuu wa ukatili Zanzibar
Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Zanzibar imesema jumla ya matukio 107 ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia yameripotiwa kwa mwezi wa Julai 2025 ambapo waathirika walikuwa 107 huku waathirika wengi wakiwa watoto sawa na asilimia…
August 22, 2025, 12:42 pm
Mjadala mkali waibuka Songwe kuhusu maana ya ilani za vyama
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…
August 9, 2025, 9:12 pm
DC Mbozi atoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani kipindi cha uchaguzi
viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini na wadau wengine wa uchaguzi wamekutana Mbozi kuweka mikakati ya kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa amani na haki, huku DC Hamad Mbega akitoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani Na Stephano Simbeye…
23 July 2025, 6:38 pm
Ubalozi wa amani PPA Kagera wanolewa
Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…
July 17, 2025, 2:03 pm
Siwale aweka historia ya kugombea Urais kutoka Songwe
Mzee Siwale (80) kutoka Mbozi, Songwe, achukua fomu ya urais kupitia CUF, akiweka historia ya kuwa mgombea wa kwanza kutoka mkoa huo. Na Stephano Simbeye Mwanachama wa Chama cha Wananchi CUF kutoka wilaya ya Mbozi, mkoa wa Songwe, Nkunyuntila Siwale…