Radio Tadio

Sera na Sheria

18 Julai 2025, 11:50 mu

Madereva, makondakta Katavi wapewa onyo

Baadhi ya madereva na makondakta wa stendi ya zamani. Picha na Leah Kamala “Ni marufuku kufungua mlango gari likiwa linatembea” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa malalamiko yao kuhusiana na tabia ya makondakta…

10 Febuari 2025, 4:41 um

GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope

Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

9 Januari 2025, 4:30 um

Wananchi  Babati walalamika taka kutokuzolewa kwa wakati

Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani Manyara wameiomba serikali ya halmashauri ya mji wa Babati kuondoa taka zilizojaa katika kizimba cha kuhifadhi taka Na George Agustino Wafanyabiashara katika eneo la Machinga complex lililopo mjini Babati mkoani…

19 Disemba 2024, 4:35 um

Sotta Mining Sengerema kuanza ujenzi January 2025

Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga-Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Na;Elisha Magege Wananchi wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja kutokana na mgodi wa Sotta Mining Ltd unaotarajia…