Radio Tadio

Nishati

18 Mei 2022, 14:02

Makaa ya mawe yatapunguza kutoweka kwa misitu

Na;Mindi Joseph. Shirika la utafiti wa viwanda limefanya utafiti wa matumizi ya Mkaa wa makaa ya mawe utakaotumika nyumbani ili kusaidia kupunguza utowekaji wa misitu. Taswira ya habari imezungumza na Mtafiti kutoka shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda Tazania…

23 Juni 2021, 11:34

wanawake Dodoma wamshukuru rais Samia.

Na; Benard Filbert Baadhi ya wanawake jijini Dodoma wamemshukuru rais Mh.Samia Suluhu Hassan kufuatia ongezeko la idadi ya wanawake ambao wameteuliwa hivi karibuni katika nafasi ya wakuu wa Wilaya nchini.Wakizungumza na taswira ya habari wanawake hao wamesema kitendo cha rais…

26 Mei 2021, 13:24

TARURA wahakikisha ukarabati barabara Nzuguni Dodoma

Na; Yussuph Hans Wananchi wa Kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamehakikishiwa ukarabati wa Barabara za Kata hiyo kwa kiwango cha Lami kwa mwaka huu, kufuatia changamoto ya ubovu wa barabara inayowakabili kwa muda mrefu. Hayo yamebainishwa na Meneja wa Wakala…