Radio Tadio

Ndoa

1 January 2024, 13:08

Ndoa 16 zafungwa na kubarikiwa siku moja ya mwaka mpya

Na Hobokela Lwinga katika kuupokea mwaka mpya 2024 kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi ushirika wa Yeriko uliopo mbalizi Mbeya. Akiongoza katika ibada hiyo kwa wanandoa hao mchungaji wa ushirika wa Yeriko Paul Mwampamba amesema ndoa hizo ni…

29 August 2023, 2:27 pm

Wanandoa waaswa kuacha  mfumo dume

Wanandoa katika manispaa ya Tabora wametakiwa kuacha dhana ya mfumo dume na badala yake  washirikiane katika masuala ya uzalishaji mali na kisha kutoa maamuzi ya pamoja kwa ajili ya maendeleo. Zaituni Juma  ametuandalia taarifa  ambayo imeangazia umuhimu wa ushirikino kwa…

3 August 2023, 4:43 pm

Ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii

Utandawazi unatajwa kuwa na ukombozi wa kupunguza vitendo hivi vya ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii. Na Mariam Matundu. Mariam matundu amezungumza na Bwana Stanley Nyambuya yeye alikuwa anafanya shughuli ya kukeketa mabinti hapo zamani lakini kwa sasa ameacha.