Radio Tadio

Ndoa

7 September 2023, 2:27 pm

Familia zatakiwa kutatua changamoto ili kujenga ustawi wa watoto

Migogoro katika familia isiposuluhishwa matokeo yake ni ndoa kuvunjika, kitendo ambacho hakipendwi na jamii, na hakina faida kwa watoto wao, madhehebu ya dini, wazazi, jamaa na wategemezi wao. Na Yussuph Hassan. Utatuzi wa changamoto za kifamilia umetajwa kuwa ni njia…

29 August 2023, 2:27 pm

Wanandoa waaswa kuacha  mfumo dume

Wanandoa katika manispaa ya Tabora wametakiwa kuacha dhana ya mfumo dume na badala yake  washirikiane katika masuala ya uzalishaji mali na kisha kutoa maamuzi ya pamoja kwa ajili ya maendeleo. Zaituni Juma  ametuandalia taarifa  ambayo imeangazia umuhimu wa ushirikino kwa…

3 August 2023, 4:43 pm

Ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii

Utandawazi unatajwa kuwa na ukombozi wa kupunguza vitendo hivi vya ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii. Na Mariam Matundu. Mariam matundu amezungumza na Bwana Stanley Nyambuya yeye alikuwa anafanya shughuli ya kukeketa mabinti hapo zamani lakini kwa sasa ameacha.